Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hata hivyo huwa nakuelewa uko ki MPIRA zaidi na si Ki TIMU ,safi sanaNimemuelekeza na Ameelewa.
Nimemwambia Hivi.
Sifa ninazompa NGOMA alipokuwa anachukua Mipira CHINI (track back)
Anakaa na Mpira, anawavuta wapinzani Wakienda kumkaba anatoka pass ya usahihi mno (anavisha mistari miwili) kwenda kwa chama au KIBU.
Alikuwa Bora sana kwenye MATUMIZI ya space na time.
Anaudhaifu kiasi kwenye kukaba, timu isipokuwa na mpira,
si mzuri sana kwenye Kukaba.
Simba Haina Kiungo mkabaji hata Mmoja.
Mzamiru ni 8,
Kanute 8.
NGOMA NAYE ni 8.10
Kwahiyo ngoma kawa mzuri kwenye mechi hiyo au tokea muda?Nimemuelekeza na Ameelewa.
Nimemwambia Hivi.
Sifa ninazompa NGOMA alipokuwa anachukua Mipira CHINI (track back)
Anakaa na Mpira, anawavuta wapinzani Wakienda kumkaba anatoka pass ya usahihi mno (anavisha mistari miwili) kwenda kwa chama au KIBU.
Alikuwa Bora sana kwenye MATUMIZI ya space na time.
Anaudhaifu kiasi kwenye kukaba, timu isipokuwa na mpira,
si mzuri sana kwenye Kukaba.
Simba Haina Kiungo mkabaji hata Mmoja.
Mzamiru ni 8,
Kanute 8.
NGOMA NAYE ni 8.10
Kwa ni mtu akijitambulisha kua anajua kitu Fulani ni dhambi?Jamaa anasemaga yy ndio anaujua mpira vzr mno na aliwashauri simba hawakumsikiliza ,hahahaha
Hahahaha, sio dhambi na uzuri yuko vzr pia katika mpiraKwa ni mtu akijitambulisha kua anajua kitu Fulani ni dhambi?
Tumchalenji Kwa hoja tusimkatishe tamaa.
Wapo watu humu Kila mtu anakijua kitu chake kwa undani.
Kwahiyo ngoma kawa mzuri kwenye mechi hiyo au tokea muda?
Kwanini hukutaka kusubiri mechi ya pili uone approach ya Al Ahly wakiwa kwao ndio uje utoe credit kwa Ngoma?
Mcheza mkubwa huwa ni profile ya mchezaji ila siongelei ukubwa wa mchezaji bali kiwango cha Ngoma cha sasa.NGOMA ni mchezaji Mkubwa sana mkuu.
Amecheza Timu ya TAIFA ya CONGO.
Amecheza sana na Raja Casablanca.
Amefunga magoli zaidi ya 8 kwenye MSIMU mmoja akiwa raja.
Akiwa A S vita ndio usiseme.
Ninamfahamu na nimemfuatilia miaka Mingi na naujua Uwezo wake.
Mcheza mkubwa huwa ni profile ya mchezaji ila siongelei ukubwa wa mchezaji bali kiwango cha Ngoma cha sasa.
Sijaona mwanaSimba yeyote aliyemsifia Ngoma kwenye mechi mbili dhidi ya power dynamo au mechi za nyuma. Lakini ni ajabu mchezaji ana perform kwenye mechi moja tena ana perform kwasababu ya aina ya mchezo wa timu pinzani lakini umekuja na hitimisho la mashindano mazima ya AFL. Au kwako mashindano ya AFL yametamatika Ijumaa?
1) Weka hapa source ya CAFMBAKA SASA NGOMA ndio kiungo Bora WA AFL
nitaleta Takwimu zake.
HAPA nimeweka Takwimu za Simba kuwa timu kamili zaidi kwa MUJIBU WA CAF.
SIMBA SPORTS CLUB.
Pass zilizofika- 546
Usahihi WA kupiga pass - 86%
Mashuti golini - 6.
Nitaiangalia tena match kuhakikisha kama NGOMA alipoteza pass yoyote kwenye mchezo
Amenikumbusha Lwanga kwenye Mechi na As vita 4-0.
Hakupoteza mpira hata Mmoja
Hakubutua
Hakupoteza pass hata moja
rage hakukosea kuwaita mbumbu hamna hata mmoja mwenye akil hukoNgoma ni sawa na aucho+Pa come+Aziz k+mudafil na. Mbwa wote pale yanga
Wewe unaongelea dhahania, mwenzako anaongelea hali halisi iliyoonekana. Sijui ndio mambo ya negativity always? Jifunze kuappreciate vitu taking into consideration kwamba hakuna mchezaji duniani anayeweza kuwa complete 100%.Ushabiki unakupovusha.
Unamsifia Ngoma ilihali Al Ahly walikuwa wanacheza kwa kuachia mianya. Hawakuwa wana press bali waliwaacha Simba wacheze mpira, wao wanarudi golini kwao kuziba mianya. Hapo kwa vyovyote viungo wa Simba wanakuwa wana muda wa kufanya maamuzi.
Ukitaka kujua udhaifu wake, Simba ikutane na timu inayocheza kwa kasi au wa press kwanzia juu utaona Ngoma anavyogeuka mpoteza pasi na mkosa maamuzi sahihi.
Halafu kwani mashindano yameisha? Kwanini mashindano yanaendelea na wewe umekuja kutoa hitimisho? Umeangalia mechi zote za AFL?
Kipi nilichoongea nadharia Na sio uhalisia?Wewe unaongelea dhahania, mwenzako anaongelea hali halisi iliyoonekana. Sijui ndio mambo ya negativity always? Jifunze kuappreciate vitu taking into consideration kwamba hakuna mchezaji duniani anayeweza kuwa complete 100%.
Mfumo wa Simba Sc kwenye mechi hiyo ndio uliilazimu Ahly kucheza hivyo, kwahiyo bado sioni point yako hapo.Ushabiki unakupovusha.
Unamsifia Ngoma ilihali Al Ahly walikuwa wanacheza kwa kuachia mianya. Hawakuwa wana press bali waliwaacha Simba wacheze mpira, wao wanarudi golini kwao kuziba mianya. Hapo kwa vyovyote viungo wa Simba wanakuwa wana muda wa kufanya maamuzi.
Ukitaka kujua udhaifu wake, Simba ikutane na timu inayocheza kwa kasi au wa press kwanzia juu utaona Ngoma anavyogeuka mpoteza pasi na mkosa maamuzi sahihi.
Halafu kwani mashindano yameisha? Kwanini mashindano yanaendelea na wewe umekuja kutoa hitimisho? Umeangalia mechi zote za AFL?
Haina haja kubishana sana muda ni mwalimu, ila Simba imetoka kucheza mechi mbili za kimataifa kabla ya Al Ahly na Ngoma alififia. Kesho tutapata majibu sahihiMfumo wa Simba Sc kwenye mechi hiyo ndio uliilazimu Ahly kucheza hivyo, kwahiyo bado sioni point yako hapo.
Haina haja kubishana sana muda ni mwalimu, ila Simba imetoka kucheza mechi mbili za kimataifa kabla ya Al Ahly na Ngoma alififia. Kesho tutapata majibu sahihi