Ningekuwa CCM ili kuleta maendeleo kwa Watanzania basi ningeanza na hili

Ningekuwa CCM ili kuleta maendeleo kwa Watanzania basi ningeanza na hili

Dialogist

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2014
Posts
1,167
Reaction score
1,872
Wanabodi Hamjambo...

Ni Wazi Kila Serikali Duniani Nia Na Lengo Lake Ni Kuleta Maisha Bora Kwa Wananchi Wake. NA ndio Maana Moja Ya Slogan Katika Kupindi Cha JK ni MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA.

Katika Muktadha Huo, Kama Ningepata Nafasi Ya Kua Na Ushawishi Katika Chama, Bunge Na Serikali, Basi Ningeshauri Juu Wa Uongozi Katika Wilaya, Mkoa, Kata, Jimbo na Mtaa.

Ni Mtanzania Pekee Ndie Anayeipenda Tanzania Na Kuipigania Katika Kila Hali Na Mali, Na Unaweza Kuthibitisha Hili Pale Unapoona Tanzania Inasemwa Vibaya Au Imesifiwa Kimataifa, Basi Ndio Hapo Mitandao Ya Kijamii Ya Kimataifa Inajaa Comments Za Watanzania Tupu.

Katika Hilo Hilo Na Mfano Huo, Imefika Wakati Kila Mkoa, Wilaya Au Kata Zipate Viongozi Ambao Ni Wakazi Wa Maeneo Husika. Hao Ndio Wanauchungu Wa Dhati Na Maeneo Yao/Mkoa/Wilaya kama ilivyo Kwa Serikali Za Mitaa. Nadhani Wengi Ni Mashahidi, Hawa Viongozi Wa Kuletewa Kwenye Mkoa Au Wilaya Mara Kadhaa Hufanya Kazi kama Business As Usual ili ikifika Muda Ahamishwe Au Aachishwe Na Hakuna Maendeleo Ameleta. Kuna Mifano Ya Mikoa Kadhaa Au Wilaya Kadhaa.

Hii Inaenda Kwa Sehemu Zote Kuanzia RC, DC, WC, SC, MB... with the exceptional of Metropolitan cities..

Mawazo Huru 2025
Naomba Kuwasilisha
 
Wanabodi Hamjambo...

Ni Wazi Kila Serikali Duniani Nia Na Lengo Lake Ni Kuleta Maisha Bora Kwa Wananchi Wake. NA ndio Maana Moja Ya Slogan Katika Kupindi Cha JK ni MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA.

Katika Muktadha Huo, Kama Ningepata Nafasi Ya Kua Na Ushawishi Katika Chama, Bunge Na Serikali, Basi Ningeshauri Juu Wa Uongozi Katika Wilaya, Mkoa, Kata, Jimbo na Mtaa.

Ni Mtanzania Pekee Ndie Anayeipenda Tanzania Na Kuipigania Katika Kila Hali Na Mali, Na Unaweza Kuthibitisha Hili Pale Unapoona Tanzania Inasemwa Vibaya Au Imesifiwa Kimataifa, Basi Ndio Hapo Mitandao Ya Kijamii Ya Kimataifa Inajaa Comments Za Watanzania Tupu.

Katika Hilo Hilo Na Mfano Huo, Imefika Wakati Kila Mkoa, Wilaya Au Kata Zipate Viongozi Ambao Ni Wakazi Wa Maeneo Husika. Hao Ndio Wanauchungu Wa Dhati Na Maeneo Yao/Mkoa/Wilaya kama ilivyo Kwa Serikali Za Mitaa. Nadhani Wengi Ni Mashahidi, Hawa Viongozi Wa Kuletewa Kwenye Mkoa Au Wilaya Mara Kadhaa Hufanya Kazi kama Business As Usual ili ikifika Muda Ahamishwe Au Aachishwe Na Hakuna Maendeleo Ameleta. Kuna Mifano Ya Mikoa Kadhaa Au Wilaya Kadhaa.

Hii Inaenda Kwa Sehemu Zote Kuanzia RC, DC, WC, SC, MB... with the exceptional of Metropolitan cities..

Mawazo Huru 2025
Naomba Kuwasilisha
Hilo wazo linahitaji Mabadiliko ya Katiba ambayo Sina hakika kama CCM wanayahitaji Kwa sababu hayana maslahi kwao.

Kuanzia Wakuu wa Wilaya ilitakiwa wawe kwenye ngazi ya Serikali za Mitaa ,Wakuu wa Mikoa wanakuwa kama Senate.

Kwa utaratibu wa Sasa Dola imeshuka hatamu,sijafuatilia China utaratibu wao kukoje.
 
Hilo wazo linahitaji Mabadiliko ya Katiba ambayo Sina hakika kama CCM wanayahitaji Kwa sababu hayana maslahi kwao.

Kuanzia Wakuu wa Wilaya ilitakiwa wawe kwenye ngazi ya Serikali za Mitaa ,Wakuu wa Mikoa wanakuwa kama Senate.

Kwa utaratibu wa Sasa Dola imeshuka hatamu,sijafuatilia China utaratibu wao
No sidhani kama hii ipo kikatiba. Kuteua wakuu wa mikoa au wilaya, yes ipo kikatiba. Lakini sifa (ukaazi) wa muhusika nadhani jiyo inabaki kua matakwa ya rais. Kuona kwamba pale Lindi maendeleo yapo nyuma sana, kila kiongozi ninayempeleka pale haoni au haguswi na changamoto zao, ngoja sasa nimteue bwana XXX ambae ni mkazi wa pale na kazaliwa pale ndiye anajua hasa shida ya pale ni nini...

So ipo katika muktadha huo. Japo kwa namna moja au nyingine inaweza kuonekana ni ubaguzi. Ila zingatio sio ubaguzi bali maendeleo, na ukifikiria kwa sasa kila mkoa au wilaya ina wasomi wakutosha wenye sifa zote za uongozi.
 
No sidhani kama hii ipo kikatiba. Kuteua wakuu wa mikoa au wilaya, yes ipo kikatiba. Lakini sifa (ukaazi) wa muhusika nadhani jiyo inabaki kua matakwa ya rais. Kuona kwamba pale Lindi maendeleo yapo nyuma sana, kila kiongozi ninayempeleka pale haoni au haguswi na changamoto zao, ngoja sasa nimteue bwana XXX ambae ni mkazi wa pale na kazaliwa pale ndiye anajua hasa shida ya pale ni nini...

So ipo katika muktadha huo. Japo kwa namna moja au nyingine inaweza kuonekana ni ubaguzi. Ila zingatio sio ubaguzi bali maendeleo, na ukifikiria kwa sasa kila mkoa au wilaya ina wasomi wakutosha wenye sifa zote za uongozi.
Hata ukiteua wakaazi kama hawawajibiki Kwa watu wa maeneo husika ni kazi Bure
 
Back
Top Bottom