Ningekuwa Dkt. Bashiru ningeamua tu kujiuzulu

Ningekuwa Dkt. Bashiru ningeamua tu kujiuzulu

Atulie,hapo kuna watu wanamfuatilia waone atafanya nini.
Na inasemekana alipishana na JK kwenye kikao.
 
Kilichomponza ni wizi wa kura hii demotion is direct from God.
Usisahau na manunuzi ya wabunge na madiwani wa upinzani kwa hela ya umma. Wananchi walistarve huku kodi yao ikitumika kwa anasa za kisiasa. Daah!!
 
Huyo Kakulwa kaiba sana hela
Ndo maana pale kwao Bukoba katelelo Rulongo Bukoba vijijini alikuwa anaabudiwa mwizi hafai
Huyu mtu kitu alilazimisha hospitali ya wilaya ya Bukoba Vijijini ijengwe kwao wakati anajua kuwa pale ni karibu na mjini.
Alinyag'anya tonge mdomoni watu wa Ibwera ambao ni sehemu ya kati tokea Izimbya, Katoro, Ibwera yenyewe na sehemu zote za Ikimba area.
Si hilo tu alilazimisha udini utumike kumchagua diwani wa Ibwera lakini akawakuta wana Ibwera ni ngangari, wakaona bora kuwa na upinzani kuliko huyo mteule wake.
 
Sioni sbb ya kulaumu hapa. Uongozi wa Utumishi wa Umma kuna kupanda na kushuka..bila kususia. Soma historia za Akina Hayati Kawawa,.... mhe Msuya, Malecela ambao walipanda na kushuka na kuendelea kutumikia Wananchi pale walipopangiwa.

Nyie watoto wa shule za Kata na utandawazi mna matatizo sana.
 
Hiyo ndio njia aliyeichagua yeye mwenyewe.
 
Ni kawaida ya kenge kutosikia maumivu hadi pale anaposikia damu zinamvuja ndiyo anajua kuwa ameumia.

Mwache aendelee na tamaa ya madaraka huku akizidi kuporomoka
Mnamuonea wivu, cheo cha ubunge kapata bila ghalama hata akimaliza akastaafu hana wa kumdai nyie ndo mnateseka kwa umbea wenu.

Kama mbowe kakosa ubunge hajulikani aliko, G Lema kakimbia nchi baada ya kukosa ubunge sasa nyie iweje muone bashiru hastahili huo ubunge?

Bashiru ni jembe na mtamkuta kwa mbele anawasubili ndo mtachanganyikiwa
 
Mnamuonea wivu, cheo cha ubunge kapata bila ghalama hata akimaliza akastaafu hana wa kumdai nyie ndo mnateseka kwa umbea wenu.

Kama mbowe kakosa ubunge hajulikani aliko, G Lema kakimbia nchi baada ya kukosa ubunge sasa nyie iweje muone bashiru hastahili huo ubunge?

Bashiru ni jembe na mtamkuta kwa mbele anawasubili ndo mtachanganyikiwa
Mbowe naona mnamuugua sana
 
Mnamuonea wivu, cheo cha ubunge kapata bila ghalama hata akimaliza akastaafu hana wa kumdai nyie ndo mnateseka kwa umbea wenu.

Kama mbowe kakosa ubunge hajulikani aliko, G Lema kakimbia nchi baada ya kukosa ubunge sasa nyie iweje muone bashiru hastahili huo ubunge?

Bashiru ni jembe na mtamkuta kwa mbele anawasubili ndo mtachanganyikiwa
Eti jembe[emoji23][emoji23][emoji23] jembe anapewa viti maalum bungeni?
Anatofauti gani na kina Ester Bulaya?
 
Back
Top Bottom