Ningekuwa kijana ningehama Tanzania kabisa

Ningekuwa kijana ningehama Tanzania kabisa

mwanyaluke

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2015
Posts
704
Reaction score
2,435
Nimekuwa nikifanya biashara kwa miaka sasa , Nina deal tu na mchele nauzia hapo zambia, nadeal na kiazi mviringo kinaenda hapo Kenya , na deal na biashara zangu tu za usifirishaji .

Moja ya jambo ambalo na regret ni kutohamisha shughuli zangu za utafutaji kwenda nchi nyingine za Afrika na duniani huko, bongo ni mahali pazuri sana shida ni mfumo wa CCM uliopo.

Tunachokifanya ni kubahitisha kila muda Kila wakati , hakuna muda unakuwa na uhakika na biashara Yako na shughili zako. Mfano mwaka huu nchi nyingi na hata Tanzania patakuwa na njaa kutokana na,

1. Watu kutopata faida kwa msimu wa kilimo uliopita hivo wengi hawajarudi mashambani
2. Ukame na uhaba wa mvua , Kwa hiyo chakula hasa nafaka msimu huu zitakuwa adimu basi utasikia serikali imefunga mipaka kwa hoja ya usalama wa chakula kwa hiyo mkulima n mfanyabiashara ili uyatoe mazao Yako nje ya nchi ili upate faida lazima utatumia rushwa.

Hili jambo linanichosha sana kujua sera ya serikali ni ipi .2. watumishi wa serikali kwa bongo ni Godfather eti wewe na pesa zako inatakiwa umyenyekee mtumishi wa umma na vyeti vyake TRA wanajua ninachokisema haya yanafanya utafutaji uwe mgumu
 
Nimekuwa nikifanya biashara kwa miaka sasa , Nina deal tu na mchele nauzia hapo zambia, nadeal na kiazi mviringo kinaenda hapo Kenya , na deal na biashara zangu tu za usifirishaji . Moja ya jambo ambalo na regret ni kutohamisha shughuli zangu za utafutaji kwenda nchi nyingine za afrika na duniani huko, bongo ni mahali pazuri sana shida ni mfumo wa CCM uliopo. tunachokifanya ni kubahitisha kila muda Kila wakati , hakuna muda unakuwa na uhakika na biashara Yako na shughili zako. Mfano mwaka huu nchi nyingi na hata Tanzania patakuwa na njaa kutokana na 1. Watu kutopata faida kwa msimu wa kilimo uliopita hivo wengi hawajarudi mashambani 2. Ukame na uhaba wa mvua , Kwa hiyo chakula hasa nafaka msimu huu zitakuwa adimu basi utasikia serikali imefunga mipaka kwa hoja ya usalama wa chakula kwa hiyo mkulima n mfanyabiashara ili uyatoe mazao Yako nje ya nchi ili upate faida lazima utatumia rushwa tu hili jambo linanichosha sana kujua sera ya serikali ni ipi .2. watumishi wa serikali kwa bongo ni Godfather eti wewe na pesa zako inatakiwa umyenyekee mtumishi wa umma na vyeti vyake TRA wanajua ninachokisema haya yanafanya utafutaji uwe mgumu
Hujachelewa
 
Tz kila mtu kawa chawa, mambo mengine mpaka yanashangaza tutafika wapi kama taifa huku nchi ikikoswa dira mahala inapoelekea
 
Laana ya CCM itatutafuna kwa kipindi kirefu mno hata wakiondoka madarakani.

Uozo wao umejichimbia kwa miongo mingi kuweza kufutika kirahisi.
 
Njoo Ukraine kabisa, uone, utakuja sema Tanzania ni nchi Takatifu kabisa
 
Shida ni kwamba unatumia nguvu kutoa malalamiko pasipo na kutoa ushauri pia? Hebu tumia udhoefu wako kibiashara kuzunguka nchi za watu, yapi umejifunza kama ni chachu ya maendeleo endapo ukipata nafasi ya kuwashauri wahusika? Licha ya kwamba umeziona changamoto kwenye nchi yako inamaana hujaona uhuru wako wakutoa maoni /ushauri? Tumia udhoefu wako iwe tiba sio kidonda
 
Nimekuwa nikifanya biashara kwa miaka sasa , Nina deal tu na mchele nauzia hapo zambia, nadeal na kiazi mviringo kinaenda hapo Kenya , na deal na biashara zangu tu za usifirishaji .

Moja ya jambo ambalo na regret ni kutohamisha shughuli zangu za utafutaji kwenda nchi nyingine za Afrika na duniani huko, bongo ni mahali pazuri sana shida ni mfumo wa CCM uliopo.

Tunachokifanya ni kubahitisha kila muda Kila wakati , hakuna muda unakuwa na uhakika na biashara Yako na shughili zako. Mfano mwaka huu nchi nyingi na hata Tanzania patakuwa na njaa kutokana na,

1. Watu kutopata faida kwa msimu wa kilimo uliopita hivo wengi hawajarudi mashambani
2. Ukame na uhaba wa mvua , Kwa hiyo chakula hasa nafaka msimu huu zitakuwa adimu basi utasikia serikali imefunga mipaka kwa hoja ya usalama wa chakula kwa hiyo mkulima n mfanyabiashara ili uyatoe mazao Yako nje ya nchi ili upate faida lazima utatumia rushwa.

Hili jambo linanichosha sana kujua sera ya serikali ni ipi .2. watumishi wa serikali kwa bongo ni Godfather eti wewe na pesa zako inatakiwa umyenyekee mtumishi wa umma na vyeti vyake TRA wanajua ninachokisema haya yanafanya utafutaji uwe mgumu
Maneno mengi, misifa kibao na bado huna ujasiri wa kuhama nchi hii mbwa wewe.

Nenda hapo DRC tu M23 wakakunyonye damu au hamia Kenya ukapambane na GEN Z
 
Upo sahihi kabisa.

Nchi inaendeshwa na wafanya Biashara Ila anatokea mswahili mmoja anajiita sijui nani anataka kumfirisi Mfanya Biashara anayelipa kodi na kuzalisha ajira kibao. This is Damn
 
TRA nawaita tena TRA.
KAZI ni kipimo cha utu
 
Laana ya CCM itatutafuna kwa kipindi kirefu mno hata wakiondoka madarakani.

Uozo wao umejichimbia kwa miongo mingi kuweza kufutika kirahisi.
No such things as laana ya CCM, last time incheck wao ndio cause wa haya madudu
 
Back
Top Bottom