Ningekuwa kocha wa Brazil ningechukua kombe la dunia mapema asubuhi

Ningekuwa kocha wa Brazil ningechukua kombe la dunia mapema asubuhi

Nahisi Croatia huwa haina nyota ya kufuatiliwa na kuwa maskioni mwa mashabiki wa soka Duniani.

Ila kiuhalisia , Croatia huwa inafanya vizuri katika mashindano makubwa mfano kombe la Dunia na Euro. Hivi mnakumbuka mwaka 1998 Croatia alishika nafasi ya tatu World Cup, wakiwa na wakali wao kina Davo Suka!



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wale jamaa mpira wanaujua sana na hawapendi media kama wale jamaa wa 'its coming home'.
 
Nahisi Croatia huwa haina nyota ya kufuatiliwa na kuwa maskioni mwa mashabiki wa soka Duniani.

Ila kiuhalisia , Croatia huwa inafanya vizuri katika mashindano makubwa mfano kombe la Dunia na Euro. Hivi mnakumbuka mwaka 1998 Croatia alishika nafasi ya tatu World Cup, wakiwa na wakali wao kina Davo Suka!



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wanaharibu ni hao vyombo vya habari vya Uingereza ndo vilishapanga kabisa kuwa Brazil ni bingwa.
 
Kosa mlilofanya ni kuiunderate mno Crotia yaani mnadhani Crotia ni team ndogo sana. Wazee mnakosea mno. Hata kibanda umiza niliwashangaa sana watu.
Kuna yule beki alikuwa na mask aisee yule jamaa kitasa sana kazikazi.
Usiwasikilize washangiliaji. Timu ambayo ni finalist wa WC iliyopita anakuwaje underdog?
 
Kosa mlilofanya ni kuiunderate mno Crotia yaani mnadhani Crotia ni team ndogo sana. Wazee mnakosea mno. Hata kibanda umiza niliwashangaa sana watu.
Kuna yule beki alikuwa na mask aisee yule jamaa kitasa sana kazikazi.
mwamba anaupiga wakutosha , mtoto wangu alikiri Gvardiol ndio beki Bora toka , michuano ianze
 
mwamba anaupiga wakutosha , mtoto wangu alikiri Gvardiol ndio beki Bora toka , michuano ianze
Yule beki ni mtu wa kazi haswa. Lazima atapata usajili mkubwa hivi karibuni.
 
Back
Top Bottom