Wale jamaa mpira wanaujua sana na hawapendi media kama wale jamaa wa 'its coming home'.Nahisi Croatia huwa haina nyota ya kufuatiliwa na kuwa maskioni mwa mashabiki wa soka Duniani.
Ila kiuhalisia , Croatia huwa inafanya vizuri katika mashindano makubwa mfano kombe la Dunia na Euro. Hivi mnakumbuka mwaka 1998 Croatia alishika nafasi ya tatu World Cup, wakiwa na wakali wao kina Davo Suka!
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mtoto mdogo tu miaka 20 sijui anacheza RB sijui.Huyo beki sio Vida kweli.?
Croatia wale jamaa ni wapambanaji kweli, kwanza wana Midfield na Backline nzuri, udhaifu wao uko kwenye frontline tuu.
SioHuyo beki sio Vida kweli.?
Croatia wale jamaa ni wapambanaji kweli, kwanza wana Midfield na Backline nzuri, udhaifu wao uko kwenye frontline tuu.
Wanaharibu ni hao vyombo vya habari vya Uingereza ndo vilishapanga kabisa kuwa Brazil ni bingwa.Nahisi Croatia huwa haina nyota ya kufuatiliwa na kuwa maskioni mwa mashabiki wa soka Duniani.
Ila kiuhalisia , Croatia huwa inafanya vizuri katika mashindano makubwa mfano kombe la Dunia na Euro. Hivi mnakumbuka mwaka 1998 Croatia alishika nafasi ya tatu World Cup, wakiwa na wakali wao kina Davo Suka!
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Unamuongelea Gvardiol, yule ni kitasa haswa.Mtoto mdogo tu miaka 20 sijui anacheza RB sijui.
Wangechanganya na wachezaji wanaocheza ligi ya ndani sio kujaza wachezaji wanaocheza ulaya tu.
Unamfundisha mkude ku whilecycling 😅😅🤣Taifa stars hakuna wachezaji wa maana. Mtu anaanza mpira wa kufundishwa akiwa na miaka 23 baada ya kucheza huko mchangani tangu utotoni. Ni vigumu sana kufundisha watu wa hivyo.
Broo France, ngja tuoneYule beki ni ni Zaidi ya Swazneger, ni Stirling hatari sana, Croatia [emoji1082], sio timu ndogo hata kidogo. Wanacoordnation hatari sana, Hili kombe ni timu mbili znaweza beba wao Croatia na Ufaransa basi.
Usiwasikilize washangiliaji. Timu ambayo ni finalist wa WC iliyopita anakuwaje underdog?Kosa mlilofanya ni kuiunderate mno Crotia yaani mnadhani Crotia ni team ndogo sana. Wazee mnakosea mno. Hata kibanda umiza niliwashangaa sana watu.
Kuna yule beki alikuwa na mask aisee yule jamaa kitasa sana kazikazi.
Anamaanisha angeliiba asubuhi.Labda ungechukua Kombe la Mtaani kwako.
mwamba anaupiga wakutosha , mtoto wangu alikiri Gvardiol ndio beki Bora toka , michuano ianzeKosa mlilofanya ni kuiunderate mno Crotia yaani mnadhani Crotia ni team ndogo sana. Wazee mnakosea mno. Hata kibanda umiza niliwashangaa sana watu.
Kuna yule beki alikuwa na mask aisee yule jamaa kitasa sana kazikazi.