Uchaguzi 2020 Ningekuwa Makonda ningesubiri mpaka 2025

Uchaguzi 2020 Ningekuwa Makonda ningesubiri mpaka 2025

nami ninaamini hv, anavyojua kujipendekeza kwa jiwe ataanzaje kufikia uamuzi mkubwa hivyo pasipo kumshirikisha?!

Jiongeze...hapo atahakikisha bashite anashinda kiti cha ubunge halafu cku moja jiwe anatoka hadharani anatuzuga kama vile hahusiki kwamba bashite angekosa ubunge asingempa teuzi nyingine!.
Vipi mkuu bado una mawazo hayo?
 
Usilolijua ni sawa na usiku wa giza ,hiyo kitu ni planned mission, uwe mpole, hajauchia u RC kama ajali
Vipi bado unavuta subira ya kuamini kilichotokea mkuu?
 
Magufuli kamwambia Bashite agombee.

Akiingia Bungeni Anapewa Uspika.

Tayari Rais, Waziri Mkuu na Spika Wana Kinga Za Kutoshtakiwa.

Lengo Ni Kumlinda Dhidi Ya Matukio Aliyopiga - post 2025.

A Calculated Move
Vipi mkuu bado unaamini maneno yako?
 
Back
Top Bottom