Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Sasa nani anawajibika kuwatoa kwenyw hiyo hali?Tatizo la azam sio kocha wala viongozi ni wachezaji kuridhika na kuona tayari walishafikia mafanikio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa nani anawajibika kuwatoa kwenyw hiyo hali?Tatizo la azam sio kocha wala viongozi ni wachezaji kuridhika na kuona tayari walishafikia mafanikio
Ndyoo, Yan wote siachi hata mfanya usafi uwanja,Fei toto na yeye ungemfukuza?
Wote, siachi mtuHata Fei Toto na Bangala ungewafukuza? Acha Masikhara ndugu yangu.
Mm siyo simbaAnza kutimua wachezaji na benchi la ufundi la simba.
Pale Kuna ufadha na uislamu ndio tatizo kubwa...Amini nakwambia! Unatumia pesa nyingi sana katika timu hii Wachezaji wanalipwa Kwa wakati wanakula
Ila sasa wanacheza ovyo ovyo, yaani mchezaji hana nguvu za kukimbia uwanjani ndo nini
Fukuza, anza maisha mapya