Kama wanaharakati tumejitahd kufatilia suala hl tangu mwanzo,kuanzia Bodi ya mikopo,wizara ya elimu,kwa Waziri mkuu,kwa Baba RIZ ila huko kote hatukpata msaada na majibu yenye tija,tumeamua kwenda MAKAO MAKUU CHADEMA,tumekutana na wakubwa akiwemo Mweshimiwa Mnyika,tumepewa ushauri kuwa jumanne tarehe 15,kamati za bunge zinaanza,tunatakiwa kuwepo pale posta BUNGE DOGO hasubuhi saa tatu tutakutana na WABUNGE wengne ili mchakato huu ujadiliwe kitaifaUpyaa,hvyo kama upo hapa dar au mkoani na kuna mtu anamfahamu tafadhali mwabalishe, tumeambiwa wingi wetu ndo utachangia suala hili kuonekana lina mashiko na kupatiwa suluhsho sio maswala ya KASUNGURA KADOGO. tufahamishane kwa pamoja linawezekana.NAWASILISHA