Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bora ingekua ivo ila ndo haiwezekani
leo kitaxmeka
:nimekataa:nimekataa:nimekataa:nimekataa:nimekataa unaongelea kisichowezekana
wote ningewapa mkopo 100%, na wote waliofanya mkakosa kibarua kingeota nyasi.
Wewe Kichaa kweli,Bora ungesema ungekuwa Rais,Yaan unatamani kuwa Mungu kwa ajili ya Mkopo tu? Astaghfirullah ee Mwenyezimungu Msamehe kiumbe hiki kinachpata Hamu ya Mamlaka yako.Ni kharam na makosa makubwa katika mazingira yoyote kuwa na Mawazo kama hayo ya kifedhuli, Kama ww ni Muislam Omba Toba katika siku ya leo ya Arafa kama dini zingine fuata taratibu zenu kuomba Toba lakin usifanye Mzaha katika hili!