Ningekuwa mwenye dhamana, busara ingenielekeza kuunda tume huru kuchunguza tuhuma zilizotolewa Mwingira

Ningekuwa mwenye dhamana, busara ingenielekeza kuunda tume huru kuchunguza tuhuma zilizotolewa Mwingira

Chendembe

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2019
Posts
444
Reaction score
488
Moto hauzimwi kwa petroli, Moto unazimwa kwa maji, mchanga na vitu ambavu si vilipuzi.
Serikali ndio mlinzi wetu kwa kutumia vyombo vyetu vya usalama.

Kwa vyovyote vile, haiingii akilini mtu kutuhumiwa na kujipa kazi ya kuhoji au kuchunguza. Majibu ya uchunguzi wa namna hii unaleta maswali mengi na kupelekea kukosekana kuaminika.

Busara ingenipeleka katika kuunda tume huru ya kimahakama ambayo ingekuwa yenye kuweka mambo bayana. Tume hiyo ndiyo ingemhoji mlalamikaji na wale wanaotuumiwa.

Serikali Ni watu na kila mpango lazima uwe na watekelezaji, na hawawezi jificha siku zote.
 
Hawezi kuwa na fikra au maono haya mpaka waanguke kutoka madarakani.

Yote yanayoendelea nchi hii kwa sasa ni lazima yatokee kabla ya mabadiliko kutokea.

Unayoyesema yatafanyika baada ya CCM kutoka madarakani wakati walipaswa kuyafanya ili waendelee kubaki madarakani(wamekosa maarifa).

There shall be victims(in jails, etc), victims who will one day rejoin us in the streets in cellebrating what they were fighting for.
 
Hamna muda kuchunguza wahuni ambao wanajiona Mungu mtu nchi hii.

Mwingira hana tofauti na Lisu wana kipaji cha kulialia na kudeka
 
Hamna muda kuchunguza wahuni ambao wanajiona Mungu mtu nchi hii.

Mwingira hana tofauti na Lisu wana kipaji cha kulialia na kudeka
Wahuni ni pamoja nawapuliza Moshi kwenye vyoo, huku wakiona Dunia IPO viganjani mwao🤔.
 
Tusipuuze maandiko ya vitabu vyetu vitukufu
"Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"

" Binadam wanaangamia kwa kumwabudu shetani"
 
Najiuliza tuu,[Hakuna chombo chochote rasimi hapa Tanzania au katika juiya za kimataifa kinachoweza shughulika na malalamiko Kama haya ya Mchungaji?]
 
Wazolako ni fupi.
Njiapekee ya kuchunguza tuhuma ni muhusika kwenda mwenyewe official kwenye vyombo husika na kueleza shidayake,

Hakuna haja ya kuundatume otherwise kilamtu atachukuwa kipaza sauti na kulopoka anachoweza kwa interest zake alafu inakuwa usumbufu kwa wengine kuacha kazi za kujenga taifa na kuhangaika na malalamiko feki kila wakati.
Hataiyotume unayosema iundwe itakosolewa tu, watu watahoji nani alieunda hiyo tume na kinanani wamo katika hiyo tume, mambo yatakuwa mengi sanatu.
 
Wazolako ni fupi.
Njiapekee ya kuchunguza tuhuma ni muhusika kwenda mwenyewe official kwenye vyombo husika na kueleza shidayake,

Hakuna haja ya kuundatume otherwise kilamtu atachukuwa kipaza sauti na kulopoka anachoweza kwa interest zake alafu inakuwa usumbufu kwa wengine kuacha kazi za kujenga taifa na kuhangaika na malalamiko feki kila wakati.
Hataiyotume unayosema iundwe itakosolewa tu, watu watahoji nani alieunda hiyo tume na kinanani wamo katika hiyo tume, mambo yatakuwa mengi sanatu.
Nadhani unakubaliana nami kuwa, haya yanatokea kwa kukosekana kuaminika kwa vyombo vyetu vya ulinzi. Pia, hali hii inaonyesha haja ya kuundwa chombo huru kitakachoweza kushughulika na mambo ya namna hii.
 
Tatizo mwenye dhamana ni kibaka aliechukua ikulu kwa kupora chaguzi.
 
Wazolako ni fupi.
Njiapekee ya kuchunguza tuhuma ni muhusika kwenda mwenyewe official kwenye vyombo husika na kueleza shidayake,

Hakuna haja ya kuundatume otherwise kilamtu atachukuwa kipaza sauti na kulopoka anachoweza kwa interest zake alafu inakuwa usumbufu kwa wengine kuacha kazi za kujenga taifa na kuhangaika na malalamiko feki kila wakati.
Hataiyotume unayosema iundwe itakosolewa tu, watu watahoji nani alieunda hiyo tume na kinanani wamo katika hiyo tume, mambo yatakuwa mengi sanatu.
Hakuna haja ya kuunda tume, tunataka katiba mpya, polisi ni kazi yao kubaini kama kuna ukweli hata kama hizo tuhuma hazijafikishwa na mtu kituoni, hata zikiwa kwenye mitandao tu"

Shida ya hawa mapolisi wanafuatana na upepo wa wanasiasa na hawaaminiki.
 
Back
Top Bottom