Huyo ni nabii wa Mungu hawezi danganya kama majaliwa.Hamna muda kuchunguza wahuni ambao wanajiona Mungu mtu nchi hii.
Mwingira hana tofauti na Lisu wana kipaji cha kulialia na kudeka
Mungu mtu ashagakufa tukazika Mkuu.Hamna muda kuchunguza wahuni ambao wanajiona Mungu mtu nchi hii.
Mwingira hana tofauti na Lisu wana kipaji cha kulialia na kudeka
Wahuni ni pamoja nawapuliza Moshi kwenye vyoo, huku wakiona Dunia IPO viganjani mwao🤔.Hamna muda kuchunguza wahuni ambao wanajiona Mungu mtu nchi hii.
Mwingira hana tofauti na Lisu wana kipaji cha kulialia na kudeka
Nadhani unakubaliana nami kuwa, haya yanatokea kwa kukosekana kuaminika kwa vyombo vyetu vya ulinzi. Pia, hali hii inaonyesha haja ya kuundwa chombo huru kitakachoweza kushughulika na mambo ya namna hii.Wazolako ni fupi.
Njiapekee ya kuchunguza tuhuma ni muhusika kwenda mwenyewe official kwenye vyombo husika na kueleza shidayake,
Hakuna haja ya kuundatume otherwise kilamtu atachukuwa kipaza sauti na kulopoka anachoweza kwa interest zake alafu inakuwa usumbufu kwa wengine kuacha kazi za kujenga taifa na kuhangaika na malalamiko feki kila wakati.
Hataiyotume unayosema iundwe itakosolewa tu, watu watahoji nani alieunda hiyo tume na kinanani wamo katika hiyo tume, mambo yatakuwa mengi sanatu.
Hakuna haja ya kuunda tume, tunataka katiba mpya, polisi ni kazi yao kubaini kama kuna ukweli hata kama hizo tuhuma hazijafikishwa na mtu kituoni, hata zikiwa kwenye mitandao tu"Wazolako ni fupi.
Njiapekee ya kuchunguza tuhuma ni muhusika kwenda mwenyewe official kwenye vyombo husika na kueleza shidayake,
Hakuna haja ya kuundatume otherwise kilamtu atachukuwa kipaza sauti na kulopoka anachoweza kwa interest zake alafu inakuwa usumbufu kwa wengine kuacha kazi za kujenga taifa na kuhangaika na malalamiko feki kila wakati.
Hataiyotume unayosema iundwe itakosolewa tu, watu watahoji nani alieunda hiyo tume na kinanani wamo katika hiyo tume, mambo yatakuwa mengi sanatu.