Ningekuwa mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama Dar Es Salaam, ningefanya haya kujiandaa na Majanga na wakati wa Majanga

Ningekuwa mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama Dar Es Salaam, ningefanya haya kujiandaa na Majanga na wakati wa Majanga

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Ndugu zangu wana Jukwaa, poleni kwa sote kwa yale yanayoendelea. Tuendelee kuweka nguvu zetu kwa panoja ili hatimaye hatua za uokoaji ambao serikali imeshaingilia kati ziweze kulete manufaa kwa wahanga.

Pamoja na hayo ni vema tukatumia wakati kama huu kabla watu jawajasahau( watanzania ni wepesi sana kusahau) kukumbushana umuhimu wa kuweka tahadhari au njia za kupambana na majanga ikiwa tayari yametokea.

Ni muhimu tukaelewa kuwa jiji la Dar ni tofauti sana na majiji mengine hapa tanzania hivyo linahitaji stratejia todauti kidogo.

Kihistoria kwa hivi karibuni tu kumetokea majanga kadha wa kadha ikiwemo

1. Kuungua soko la Machinga Karume
2. Kuungua Soko la Kariakoo
3. Mafuriko yatokanayo na mvua Maeneo ya mabondeni.

Ningekuwa kiongozi wa Baraza la Ulinzi na Usalama ningefanya haya
1. Kuhakikisha kuna idala thabiti ya majanga na yenye medical evacuation Ambulance
2. Kuhakikisha mipango na bajeti ya kuajiri na kuweka sawa kikosi cha uokoaji wakati wowote chenye weledi na uzalendo.
3. Kuwepo na vifaa vya uokoaji ktk matukio mbali mbali vinavyokaguliwa na kutunzwa kwa wakati wote( kama ambavyo warehouse za jeshi na polisi)

Wakati wa janga kama leo ningefanya haya

Bila kusubiri Agizo la Waziri wala Rais wa JMT

1. Kuhakikisha watu wote waliozagaa Kariakoo nawafagia waondoke na kuelekea makwao. Hii inaondoka hatari( risiki ya janga lingine). Imagine hapo watu wamejazana kukatokea hitilafu ya umeme na moto? Imagine jengo lingine likadondoka, imagine wasisiojulikana waliokuwa wanazagaa maeneo hayo wakiwa na vilipuzi?
2. Kumwaga Jeshi la vijana wa FFU na JKT kwa haraka sana ili kuondoa watu ktk maeneo ya tukio ili Entry na Exit routes ziwe paved kwa ajilinya ufanisi wa uokoaji kuingia na kutoka kwa vifaa maalumu.
3. Kumobilize emergenc3 evacuations kwa kutumia team kadhaa za serikali na za vituo binafsi kama Aga Khan, TMHS, Regency, Muhimbili na Saifee- wote wanatakiwa kuelekeza mchango wao hapo.
 
Siku ukiwa, ukakabidhiwa VXR, mshahara WA 6m, wadau ukiwajambisha wanamwaga pesa, unamkolomea yoyote anaufyata....... Nakuhakikishia utavaa Hadi boxa ya kijani na hata ukiwa unamkaza mmeo utaisifu CCM.

Ukiipata kacheo unakuwa na akili kuzidi wote na hotuba zote utataka mama kila sentensi.
Hahaha we jamaa
 
Namba mbili; hakuna raia anayeweza kukataa kutoka eneo la tukio endapo mamlaka zimefika kwa wakati kufanya uokozi.

Unapoona hayo ni sawa na state failure kwa sababu ina nguvu na mamlaka kwa issue za kisiasa na haina power kwenye majanga ya raia wake.

Raia wamejipa state power kuwaokoa wenzao unadhani akitokea mwenye jengo akasema sogeeni mbali hawatoki?.
 
Ndugu zangu wana Jukwaa, poleni kwa sote kwa yale yanayoendelea. Tuendelee kuweka nguvu zetu kwa panoja ili hatimaye hatua za uokoaji ambao serikali imeshaingilia kati ziweze kulete manufaa kwa wahanga.

Pamoja na hayo ni vema tukatumia wakati kama huu kabla watu jawajasahau( watanzania ni wepesi sana kusahau) kukumbushana umuhimu wa kuweka tahadhari au njia za kupambana na majanga ikiwa tayari yametokea.

Ni muhimu tukaelewa kuwa jiji la Dar ni tofauti sana na majiji mengine hapa tanzania hivyo linahitaji stratejia todauti kidogo.

Kihistoria kwa hivi karibuni tu kumetokea majanga kadha wa kadha ikiwemo

1. Kuungua soko la Machinga Karume
2. Kuungua Soko la Kariakoo
3. Mafuriko yatokanayo na mvua Maeneo ya mabondeni.

Ningekuwa kiongozi wa Baraza la Ulinzi na Usalama ningefanya haya
1. Kuhakikisha kuna idala thabiti ya majanga na yenye medical evacuation Ambulance
2. Kuhakikisha mipango na bajeti ya kuajiri na kuweka sawa kikosi cha uokoaji wakati wowote chenye weledi na uzalendo.
3. Kuwepo na vifaa vya uokoaji ktk matukio mbali mbali vinavyokaguliwa na kutunzwa kwa wakati wote( kama ambavyo warehouse za jeshi na polisi)

Wakati wa janga kama leo ningefanya haya

Bila kusubiri Agizo la Waziri wala Rais wa JMT

1. Kuhakikisha watu wote waliozagaa Kariakoo nawafagia waondoke na kuelekea makwao. Hii inaondoka hatari( risiki ya janga lingine). Imagine hapo watu wamejazana kukatokea hitilafu ya umeme na moto? Imagine jengo lingine likadondoka, imagine wasisiojulikana waliokuwa wanazagaa maeneo hayo wakiwa na vilipuzi?
2. Kumwaga Jeshi la vijana wa FFU na JKT kwa haraka sana ili kuondoa watu ktk maeneo ya tukio ili Entry na Exit routes ziwe paved kwa ajilinya ufanisi wa uokoaji kuingia na kutoka kwa vifaa maalumu.
3. Kumobilize emergenc3 evacuations kwa kutumia team kadhaa za serikali na za vituo binafsi kama Aga Khan, TMHS, Regency, Muhimbili na Saifee- wote wanatakiwa kuelekeza mchango wao hapo.
Hzo story unaziona na kusikia kwenye moves ndugu hz calamities preparedness usifanye mchezo ndio nyie wakijaza usalama na wanajeshi mnanzisha uzi wa kuwasema
 
Namba mbili; hakuna raia anayeweza kukataa kutoka eneo la tukio endapo mamlaka zimefika kwa wakati kufanya uokozi.

Unapoona hayo ni sawa na state failure kwa sababu ina nguvu na mamlaka kwa issue za kisiasa na haina power kwenye majanga ya raia wake.

Raia wamejipa state power kuwaokoa wenzao unadhani akitokea mwenye jengo akasema sogeeni mbali hawatoki?.
Ni kweli mchango na nguvu ya raia ktk hali kama hii ni muhimu. Hata hivyo ni vema ku set up utaratibu mzuri ambao hautakuwa kikwazo na kizuizi ktk movement za kuingia na kutoka ukizingatia mazingira ya Kariajoo yalivyo.
 
Ni kweli mchango na nguvu ya raia ktk hali kama hii ni muhimu. Hata hivyo ni vema ku set up utaratibu mzuri ambao hautakuwa kikwazo na kizuizi ktk movement za kuingia na kutoka ukizingatia mazingira ya Kariajoo yalivyo.
Utaratibu mzuri wa raia ni kama ulivyoona na jinsi ulivyofanikiwa kuokoa wenzao pale.

Vinginevyo ukitaka utaratibu mzuri zaidi utawapoteza wengi sana, maana lazima usubiri bajeti, vikao na vifaa kutoka sijui wapi kule!.
 
Utaratibu mzuri wa raia ni kama ulivyoona na jinsi ulivyofanikiwa kuokoa wenzao pale.

Vinginevyo ukitaka utaratibu mzuri zaidi utawapoteza wengi sana, maana lazima usubiri bajeti, vikao na vifaa kutoka sijui wapi kule!.
Hakuna bajeti kusubiri mkuu es ulinzi ns usalama siwezi.kusubirii hii ni dharura
 
Ndugu zangu wana Jukwaa, poleni kwa sote kwa yale yanayoendelea. Tuendelee kuweka nguvu zetu kwa panoja ili hatimaye hatua za uokoaji ambao serikali imeshaingilia kati ziweze kulete manufaa kwa wahanga.

Pamoja na hayo ni vema tukatumia wakati kama huu kabla watu jawajasahau( watanzania ni wepesi sana kusahau) kukumbushana umuhimu wa kuweka tahadhari au njia za kupambana na majanga ikiwa tayari yametokea.

Ni muhimu tukaelewa kuwa jiji la Dar ni tofauti sana na majiji mengine hapa tanzania hivyo linahitaji stratejia todauti kidogo.

Kihistoria kwa hivi karibuni tu kumetokea majanga kadha wa kadha ikiwemo

1. Kuungua soko la Machinga Karume
2. Kuungua Soko la Kariakoo
3. Mafuriko yatokanayo na mvua Maeneo ya mabondeni.

Ningekuwa kiongozi wa Baraza la Ulinzi na Usalama ningefanya haya
1. Kuhakikisha kuna idala thabiti ya majanga na yenye medical evacuation Ambulance
2. Kuhakikisha mipango na bajeti ya kuajiri na kuweka sawa kikosi cha uokoaji wakati wowote chenye weledi na uzalendo.
3. Kuwepo na vifaa vya uokoaji ktk matukio mbali mbali vinavyokaguliwa na kutunzwa kwa wakati wote( kama ambavyo warehouse za jeshi na polisi)

Wakati wa janga kama leo ningefanya haya

Bila kusubiri Agizo la Waziri wala Rais wa JMT

1. Kuhakikisha watu wote waliozagaa Kariakoo nawafagia waondoke na kuelekea makwao. Hii inaondoka hatari( risiki ya janga lingine). Imagine hapo watu wamejazana kukatokea hitilafu ya umeme na moto? Imagine jengo lingine likadondoka, imagine wasisiojulikana waliokuwa wanazagaa maeneo hayo wakiwa na vilipuzi?
2. Kumwaga Jeshi la vijana wa FFU na JKT kwa haraka sana ili kuondoa watu ktk maeneo ya tukio ili Entry na Exit routes ziwe paved kwa ajilinya ufanisi wa uokoaji kuingia na kutoka kwa vifaa maalumu.
3. Kumobilize emergenc3 evacuations kwa kutumia team kadhaa za serikali na za vituo binafsi kama Aga Khan, TMHS, Regency, Muhimbili na Saifee- wote wanatakiwa kuelekeza mchango wao hapo.
Kujazana watu kwenye majengo na kupanga vitu vilivyoko madukani hadi nje ni sera ya CCM, nchi nzima upangaji wa vitu vya dukani hadi vinazuia wateja kuliona duka jingine lipo Tanzania nzima

Tena inapokaribia uchaguzi hawawezi kuwaondoa italeta dosari kwa wapiga kura wao
 
Ndugu zangu wana Jukwaa, poleni kwa sote kwa yale yanayoendelea. Tuendelee kuweka nguvu zetu kwa panoja ili hatimaye hatua za uokoaji ambao serikali imeshaingilia kati ziweze kulete manufaa kwa wahanga.

Pamoja na hayo ni vema tukatumia wakati kama huu kabla watu jawajasahau( watanzania ni wepesi sana kusahau) kukumbushana umuhimu wa kuweka tahadhari au njia za kupambana na majanga ikiwa tayari yametokea.

Ni muhimu tukaelewa kuwa jiji la Dar ni tofauti sana na majiji mengine hapa tanzania hivyo linahitaji stratejia todauti kidogo.

Kihistoria kwa hivi karibuni tu kumetokea majanga kadha wa kadha ikiwemo

1. Kuungua soko la Machinga Karume
2. Kuungua Soko la Kariakoo
3. Mafuriko yatokanayo na mvua Maeneo ya mabondeni.

Ningekuwa kiongozi wa Baraza la Ulinzi na Usalama ningefanya haya
1. Kuhakikisha kuna idala thabiti ya majanga na yenye medical evacuation Ambulance
2. Kuhakikisha mipango na bajeti ya kuajiri na kuweka sawa kikosi cha uokoaji wakati wowote chenye weledi na uzalendo.
3. Kuwepo na vifaa vya uokoaji ktk matukio mbali mbali vinavyokaguliwa na kutunzwa kwa wakati wote( kama ambavyo warehouse za jeshi na polisi)

Wakati wa janga kama leo ningefanya haya

Bila kusubiri Agizo la Waziri wala Rais wa JMT

1. Kuhakikisha watu wote waliozagaa Kariakoo nawafagia waondoke na kuelekea makwao. Hii inaondoka hatari( risiki ya janga lingine). Imagine hapo watu wamejazana kukatokea hitilafu ya umeme na moto? Imagine jengo lingine likadondoka, imagine wasisiojulikana waliokuwa wanazagaa maeneo hayo wakiwa na vilipuzi?
2. Kumwaga Jeshi la vijana wa FFU na JKT kwa haraka sana ili kuondoa watu ktk maeneo ya tukio ili Entry na Exit routes ziwe paved kwa ajilinya ufanisi wa uokoaji kuingia na kutoka kwa vifaa maalumu.
3. Kumobilize emergenc3 evacuations kwa kutumia team kadhaa za serikali na za vituo binafsi kama Aga Khan, TMHS, Regency, Muhimbili na Saifee- wote wanatakiwa kuelekeza mchango wao hapo.
Fair Comment!
 
Ndugu zangu wana Jukwaa, poleni kwa sote kwa yale yanayoendelea. Tuendelee kuweka nguvu zetu kwa panoja ili hatimaye hatua za uokoaji ambao serikali imeshaingilia kati ziweze kulete manufaa kwa wahanga.

Pamoja na hayo ni vema tukatumia wakati kama huu kabla watu jawajasahau( watanzania ni wepesi sana kusahau) kukumbushana umuhimu wa kuweka tahadhari au njia za kupambana na majanga ikiwa tayari yametokea.

Ni muhimu tukaelewa kuwa jiji la Dar ni tofauti sana na majiji mengine hapa tanzania hivyo linahitaji stratejia todauti kidogo.

Kihistoria kwa hivi karibuni tu kumetokea majanga kadha wa kadha ikiwemo

1. Kuungua soko la Machinga Karume
2. Kuungua Soko la Kariakoo
3. Mafuriko yatokanayo na mvua Maeneo ya mabondeni.

Ningekuwa kiongozi wa Baraza la Ulinzi na Usalama ningefanya haya
1. Kuhakikisha kuna idala thabiti ya majanga na yenye medical evacuation Ambulance
2. Kuhakikisha mipango na bajeti ya kuajiri na kuweka sawa kikosi cha uokoaji wakati wowote chenye weledi na uzalendo.
3. Kuwepo na vifaa vya uokoaji ktk matukio mbali mbali vinavyokaguliwa na kutunzwa kwa wakati wote( kama ambavyo warehouse za jeshi na polisi)

Wakati wa janga kama leo ningefanya haya

Bila kusubiri Agizo la Waziri wala Rais wa JMT

1. Kuhakikisha watu wote waliozagaa Kariakoo nawafagia waondoke na kuelekea makwao. Hii inaondoka hatari( risiki ya janga lingine). Imagine hapo watu wamejazana kukatokea hitilafu ya umeme na moto? Imagine jengo lingine likadondoka, imagine wasisiojulikana waliokuwa wanazagaa maeneo hayo wakiwa na vilipuzi?
2. Kumwaga Jeshi la vijana wa FFU na JKT kwa haraka sana ili kuondoa watu ktk maeneo ya tukio ili Entry na Exit routes ziwe paved kwa ajilinya ufanisi wa uokoaji kuingia na kutoka kwa vifaa maalumu.
3. Kumobilize emergenc3 evacuations kwa kutumia team kadhaa za serikali na za vituo binafsi kama Aga Khan, TMHS, Regency, Muhimbili na Saifee- wote wanatakiwa kuelekeza mchango wao hapo.

Upo sawa kabisa
 
Kujazanana watu kwenye majengo na kupanga vitu vilivyoko madukani hadi nje ni sera ya CCM, nchi nzima upangaji wa vitu vya dukani hadi vinazuia wateja kuliona duka jingine lipo Tanzania nzima

Tena inapokaribia uchaguzi hawawezi kuwaondoa italeta dosari kwa wapiga kura wao

Kweli mrundikano ni mkubwa Sana. Imekuwa kero hata kwenda kariakoo kwasababu hiyo.
 
Back
Top Bottom