Kiukweli nakereka sana kwa namna soka la TZ linavyovurugwa na washenzi wachache wanaojitia wanajua soka, uswahili wa masoud na manara ni tatizo kwa soka letu ni watu wapuuzi mnoo hawafai kabisa ila wanalazimisha waonekane wapo vizuri,hawana lolote zaidi ya usaka tonge
Unaizungumzia Simba SC ipi? Hawa mabingwa watetezi wa TPL, au?Kesho Mwadui FC 2-2 Simba SC
Hao hao waliopigwa na mbao!Unaizungumzia Simba SC ipi? Hawa mabingwa watetezi wa TPL, au?
Kiukweli nakereka sana kwa namna soka la TZ linavyovurugwa na washenzi wachache wanaojitia wanajua soka, uswahili wa masoud na manara ni tatizo kwa soka letu ni watu wapuuzi mnoo hawafai kabisa ila wanalazimisha waonekane wapo vizuri,hawana lolote zaidi ya usaka tonge
Wakuu tatizo la "De Le Boss" Manara ni lipi haswaa??Nakuunga mkono mkuu, hasa huyo Manara. Anatuvurugia team na kujiona mkubwa zaidi ya team iliyompa huo ukubwa anaojivunia. Namwambia: NJE YA SIMBA HANA UMAARUFU ANAODHANI ANAO. Atulize akili, afanye kazi anayopaswa kufanya na si kujenga makundi na vijembe vya kitoto mitandaoni. Kuna haja ya kukifumua na kuliunda upya kitengo cha habari na mawasiliano maana hiki ndo Image ya Club, hakiwezi kuwa na mtu wa ovyo ovyo.
Simba tumeanza kuijadili JF kabla hata Manara hajaajiriwa Simba SC.Manara keshasema Washabiki Wa Simba hamjui mpira Bali mmejazana tu kwenye magroup ya Whatsap sahizi naona mmehamia na JF mnajadili mambo ya mpira msiyoyajua. Jamaa akipaniki huwa anaongea ukweli
Poleni watani,sisi wenzenu tunapitia kipindi kigumu cha kifedha ninyi mmeamua mpitie kipindi kigumu cha majungu. Kweli Simba hamtaki Yangaa atembee peke yakeSimba tumeanza kuijadili JF kabla hata Manara hajaajiriwa Simba SC.
Tunaunga mkono juhudi zenu .. Hahaha.. [just joking]Poleni watani,sisi wenzenu tunapitia kipindi kigumu cha kifedha ninyi mmeamua mpitie kipindi kigumu cha majungu. Kweli Simba hamtaki Yangaa atembee peke yake
Wakuu tatizo la "De Le Boss" Manara ni lipi haswaa??
Kazi ya De Le Boss ni afisa habari na mawasiliano, na moja ya jukumu lake kuu ni kuhakikisha habari za timu zinawafikia walengwa kwa wakati muafaka. Na hapa anafanya vyema sana.
Kuhusu vijembe anavyotoa katika mitandao ya kijamii mi naona ni sawa tu kwa sababu anayafanya yote hayo katika page zake na si za timu.
NB: Alafu Simba SC ni Brand kubwa.. Inahitaji kua na Afisa habari mwenye makeke kama De Le Boss, Manara na si aliyepooza kama wa Ndala.
Aisee mkuu jifunze soka acha taarabuManara keshasema Washabiki Wa Simba hamjui mpira Bali mmejazana tu kwenye magroup ya Whatsap sahizi naona mmehamia na JF mnajadili mambo ya mpira msiyoyajua. Jamaa akipaniki huwa anaongea ukweli
Kumbe ndio biashara yenu MkuuYaani kitendo tu cha mbao kukataa hela safari hii watu washahitilafiana
Kwamba wananunua wapinzani? [emoji45] [emoji45] [emoji45]Yaani kitendo tu cha mbao kukataa hela safari hii watu washahitilafiana
Yap! Wale waliokosa ubingwa kwa miaka 5 mfululizoUnaizungumzia Simba SC ipi? Hawa mabingwa watetezi wa TPL, au?