Kiukweli nakereka sana kwa namna soka la TZ linavyovurugwa na washenzi wachache wanaojitia wanajua soka, uswahili wa masoud na manara ni tatizo kwa soka letu ni watu wapuuzi mnoo hawafai kabisa ila wanalazimisha waonekane wapo vizuri,hawana lolote zaidi ya usaka tonge