Ningekuwa na mamlaka Simba ningewafukuza Masoud na Manara

Ningekuwa na mamlaka Simba ningewafukuza Masoud na Manara

Wewe kaa kimya hujui historia ya hizi timu. Yaani huna habari wala kutambua kuwa Simba fc ni ubavu was Yanga sport club kama ilivyo kwa Hawa alivyo ubavu was Adam, na Mke alivyo ubavu was Mwanaume. Nimejaribu kukujuza ili ujue we we na Simba yako mlitokea wapi.
Sawa mwanahistoria wa Tanzania Football mi nakaa kimya.. Ila Mtalamu wa hizi historia unaonaje siku ukatupa darasani hapa JF? Ili nasi tulio weupe kwenye hilo suala tupate cha kuhadithia vijiweni.
Kwa kua hiii elimu ni adhimu tuko (naamini wapo na vilaza mwenzangu) tayari kukulipa kwa hilo.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
 
Wakuu tatizo la "De Le Boss" Manara ni lipi haswaa??
Kazi ya De Le Boss ni afisa habari na mawasiliano, na moja ya jukumu lake kuu ni kuhakikisha habari za timu zinawafikia walengwa kwa wakati muafaka. Na hapa anafanya vyema sana.
Kuhusu vijembe anavyotoa katika mitandao ya kijamii mi naona ni sawa tu kwa sababu anayafanya yote hayo katika page zake na si za timu.

NB: Alafu Simba SC ni Brand kubwa.. Inahitaji kua na Afisa habari mwenye makeke kama De Le Boss, Manara na si aliyepooza kama wa Ndala.
Mkulu akituma utumbo kwenye account ya IG binafsi itachukuliwa binafsi sio...
 
Back
Top Bottom