Pre GE2025 Ningekuwa na uwezo ningevifuta kwenye uliwengu wa siasa vyama vyote vya upinzania Tanzania

Pre GE2025 Ningekuwa na uwezo ningevifuta kwenye uliwengu wa siasa vyama vyote vya upinzania Tanzania

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hata Kiongozi mmoja alipotaka kufa aliingiwa na ndoto ya kufuta mitandao yote ya jamii. Bila shaka kuna kinachobisha kwako pia.
 
CCM ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu ipo kila mahali na kila Sehemu na inakubalika na kupendwa na mamilioni ya watanzania kutokana na kugusa Maisha ya mamilioni ya watanzania.
Siku chama kingine kikishika dola utasifia hivi hivi.Mungu atupe uzima!
 
Nakuamini unaposema Mbowe ni pandikizi. Ni juzi tu hapa Mbowe alikuwa anamtetea Samiah, Leo Samiah kamgeuka kaanza kuitisha maandamano uchwara na watu wakamsusia. Sasa hivi analazimisha CHADEMA iingie kwenye uchaguzi ili kulipa CCM uhalali wa kutawala.
Siasa ni mbinu fulani hivi ya kitapeli ya kuwafanya wanachama wakusindikize kutimiza ndoto zako. Ndiyo maana wanasiasa wakipewa chance ya kura wanaichukua faster bila kujali kama wanachama wao wamepitia kipi.
Refer uchaguzi wa zanzibar, wananchi hadi kuawa ila wale waliokuwa wanawapigania wakipewa nafasi faster wanachukua na kutembea na vingora.
 
Tanzania hakuna vyama vya upinzania vyote ni ma agent wa CCM

Sema ndani ya upinzani Kuna baadhi ya watu makini ambao ningekuwa na uwezo ningevifuta vyama vyote vya upinzani na kuanzisha chama kimoja Cha kupambana na CCM.

Sio chadema sio act wazalendo sio cuf vyote vimejaaa majasusi wanaofanya kazi ya ccm kwa wengine kujua Kama ilivyo kwa Mbowe na Zitto na wengine kwa kutokujua

Ndio maana wengine wakigundua wanakimbilia CCM Kama ilivyo kwa kafulila na wenzie wote!!!

Hii nchi unaweza kutumikishwa bila kujua Kama unatumikiswa

Mpinzani pekee aliyebaki nchii hii ambaye ameisaliti system na kuamua kusimama na Watanzania ni Lissu tu!!

Vyama vyote ni matawi ya ccm huu ni ukweli mchungu ukitaka kujua hicho angalia ugumu wa kubadili mwenyekiti wa chama !!!

Siasa ya Tanzania ni ngumu kuliko siasa ya nchi yeyote duniani!!!
Una hoja
Upewe muda uifafanue ili wote tuwe na uelewa mmoja
 
Back
Top Bottom