Ningekuwa ni Mwenyekiti wa CCM Taifa, kwa kuokoa muda, kuangalia ustawi wa chama na kutozalisha 'makundi', ningefanya haya upesi tu

Ningekuwa ni Mwenyekiti wa CCM Taifa, kwa kuokoa muda, kuangalia ustawi wa chama na kutozalisha 'makundi', ningefanya haya upesi tu

Nilijua kama utauliza hili swali.chizi ni mtu asie na akili,ajui thamani yoyote ya maisha sembuse kujua thamani ya kutoa fedha ili akachukue form ya kugombea.

Hoja hakuna mimi naona siasa ni maslahi tu mtu yeyeto akipata hiyo fursa na apewe tu hakuna msafi hata 1 katika siasa ni lazima atafnya haramu tu kwa namna moja ama nyingine ni kumi kwa mmoja
 
Kama GENTAMYCINE ningekuwa ni Mwenyekiti wa CCM Taifa baada ya huu 'Mchakato' mzima wa Kura za Maoni ambazo zimefanyika kwa Uwazi zaidi huku zikionyesha kabisa kuwa wana CCM ' wameamua ' bila ' Ngendembwe / Hila ' zozote katika Kikao cha Maamuzi cha mwisho cha ' Watia Nia ' kwa nafasi ya Ubunge basi ningeamua mara moja kuwa ' Walioongoza ' ndiyo Wagombee.

Na kama tena GENTAMYCINE ndiyo ningekuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa baada ya ' Kuwaonya ' wale ambao niliwapa ' Dhamana ' za Kuwa ama Wakuu wa Mikoa au Wilaya kuwa wasiende ' Kutia Nia ' kwakuwa bado nilikuwa nawahitaji katika Serikali yangu ' Tukufu ' na wakaenda kisha ' Wakatokota ' na ' Kuanguka ' vibaya nikiwa Rais tena sitowakumbuka hata kwa Nafasi za chini kabisa Kiutawala.

Kama Wewe unajijua ' Ulitia Nia ' hasa ya Ubunge na Kutokota na Uzi huu ' utakuchukiza ' nashauri hapo ulipo tafuta Sumu ya Panya Unywe Ufe!
Kuna wagombea wameongoza kura za maoni kwa rushwa na maeneo kama Nyamagana Mwanza tumeshuhudia wafuasi wa Mabula wakigawana pesa za rushwa kutoka kwa mtia nia Mabula, Wananchi wa Jimbo la Nyamagana hawamtaki Mabula wanasema ni bora wampe Jimbo Komredi John Pambalu maana yeye anao uthubutu wa kuongea kuliko huyo kiazi Mabula, hapo utasemaje Mwenyekiti afumbie macho mambo kama hayo?
 
Uko sahihi kabisa.

Aliyepita kwenye kura za maoni ndio awe mgombea.
Hapo sio sawa kuna baadhi ya Maeneo walioshinda katika Kura za maoni wamepita kirushwa kama huku kwetu kuna Mgombea UDIWANI kata ya Mwandege wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani Yupo juu ya sheria anagawa rushwa anatengeneza offis za Kata huku akiwa yeye ni Mgombea anaitwa mpemba or Nassoro ,situation km hii huyu akiongoza kura za maoni Tunapata sura gani?
 
Tena wale ambao walikuwa ni wateule wa Rais walioacha nafasi zao za kuteuliwa na Rais,wakaenda kugombea ubunge ndio watu sahihi wanaotakiwa wapewe kesi ya uhujumu uchumi kuliko wale wapinzani wa Rais wanaopewa kesi hiyo.

Kwa kuwa wamemuingiza Muh Rais kwenye kazi ambayo hakuwa na budget nayo, Muh Rais amelazimika kufanya kazi ya kuteua pasipo na sababu ya msingi na kulazimika kutumia fedha za walipa kodi kwa ajili ya kugharamia gharama za kuwaapisha wateule wapya.

Na bado watia nia wanatakiwa kulipwa kiinua mgongo walicho kifanyia kazi,na wateule wapya nao wanatakiwa walipwe kiinua mgongo chao,baada ya kumaliza kazi zao, gharama zote hizi zimesababishwa na wateule watia nia.
 
Hoja hakuna mimi naona siasa ni maslahi tu mtu yeyeto akipata hiyo fursa na apewe tu hakuna msafi hata 1 katika siasa ni lazima atafnya haramu tu kwa namna moja ama nyingine ni kumi kwa mmoja
Sawa lakini ndani ya vyama kunatartibu ambazo vyama vimejiwekwa na hao wanaharamu.na sasa wanaamua kizufata kama walivyoziweka.wachujane mwenye nafuu apite asie na nafuu abaki.
 
Mbona hivi sasa Umeandika kwa Kiswahili tena badala ya kile Kiingereza chako cha Darasa la Tatu? au ulijua hiyo Lugha siijui na nilikimbia Shule?
Mkuu pm yako umefunga kuna jambo nahitaji msaada wako.natanguliza shukrani
 
Mkuu pm yako umefunga kuna jambo nahitaji msaada wako.natanguliza shukrani

Katika Kitu ambacho sikitaki na sikipendi hapa JamiiForums ni Kuwasiliana na Mtu ' Maji Mafupi ' huko PM. Una chochote nami Kimwage tu hapa!!!
 
Hata waliotununua wajumbe kwenye kura za maoni ungewapitisha wapeperushe bendera?

Ndio maana wewe sio Mwenyekiti taifa
 
Nili
Mbona hivi sasa Umeandika kwa Kiswahili tena badala ya kile Kiingereza chako cha Darasa la Tatu? au ulijua hiyo Lugha siijui na nilikimbia Shule?
Niliandikiwa,nasubili aje alieniandikia tuendeleze kidhungu
 
Kama GENTAMYCINE ningekuwa ni Mwenyekiti wa CCM Taifa baada ya huu 'Mchakato' mzima wa Kura za Maoni ambazo zimefanyika kwa Uwazi zaidi huku zikionyesha kabisa kuwa wana CCM ' wameamua ' bila ' Ngendembwe / Hila ' zozote katika Kikao cha Maamuzi cha mwisho cha ' Watia Nia ' kwa nafasi ya Ubunge basi ningeamua mara moja kuwa ' Walioongoza ' ndiyo Wagombee.

Na kama tena GENTAMYCINE ndiyo ningekuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa baada ya ' Kuwaonya ' wale ambao niliwapa ' Dhamana ' za Kuwa ama Wakuu wa Mikoa au Wilaya kuwa wasiende ' Kutia Nia ' kwakuwa bado nilikuwa nawahitaji katika Serikali yangu ' Tukufu ' na wakaenda kisha ' Wakatokota ' na ' Kuanguka ' vibaya nikiwa Rais tena sitowakumbuka hata kwa Nafasi za chini kabisa Kiutawala.

Kama Wewe unajijua ' Ulitia Nia ' hasa ya Ubunge na Kutokota na Uzi huu ' utakuchukiza ' nashauri hapo ulipo tafuta Sumu ya Panya Unywe Ufe!
Mimi binafsi nimekuelewa.....
 
Hao majangili, mafisadi nk wapelekwe mahakamani haki itendeke, kamati ya CCM haina uwezo wa kuchunguza na kuhukumu mtu.
Ona Waziri anaongelea rushwa aliyotoa bila aibu wala hofu

 
Hapana kuna watu wanasifa mbaya lkn wamepita.ni muhimu wachujwe. Waliopita kuna majangili, mafisadi, majambazi n,k.

Hao majangili, mafisadi, majambazi nk walipaswa kuwa mahakamani na jela, na sio kupunguzwa na mwenyekiti na genge lake.
 
Back
Top Bottom