Jf wekeni wishes zenu kama ungekuwa president! Ingekuwaje?
Lakini twendeni ki chit chat itapendeza zaidi na usitumia neno "vyuma kukaza" by any means
Mimi ningekuwa rais watu wangesoma chekechea hadi chuo kikuu bila vigezo vya kupata A, B, na C kwenye mitihani