Habari wadau
Ningependa kuuliza kuwa kuna athari gani kula mchanganyiko wa matunda mengi katika mlo mmoja?
Hii inatokana na katika migahawa mingi hapa Dar es salaam, na hata ukipita maeneo ya postal utakuta watu wanakatakata matunda aina nyingi na kuyaweka kwenye kifungashio kwaajili ya kuuzia watu
Je huo mchanganyiko hautengenezi kitu ambacho ni hatari katika mwili wa binadamu!?
Mwisho kuna makala nyingi nimeona wakizungumzia faida za unywaji wa maziwa. Je faida hizi tunazipata zaidi kwenye maziwa freshi au maziwa mtindi? Je kati ya maziwa freshi na mtindi yapi bora kwenye afya ya binadamu?
Natanguliza shukrani zangu kwa watakaonijibu
Ningependa kuuliza kuwa kuna athari gani kula mchanganyiko wa matunda mengi katika mlo mmoja?
Hii inatokana na katika migahawa mingi hapa Dar es salaam, na hata ukipita maeneo ya postal utakuta watu wanakatakata matunda aina nyingi na kuyaweka kwenye kifungashio kwaajili ya kuuzia watu
Je huo mchanganyiko hautengenezi kitu ambacho ni hatari katika mwili wa binadamu!?
Mwisho kuna makala nyingi nimeona wakizungumzia faida za unywaji wa maziwa. Je faida hizi tunazipata zaidi kwenye maziwa freshi au maziwa mtindi? Je kati ya maziwa freshi na mtindi yapi bora kwenye afya ya binadamu?
Natanguliza shukrani zangu kwa watakaonijibu