Ningependa kujua: Waasi, maharamia hupata wapi silaha?

Ningependa kujua: Waasi, maharamia hupata wapi silaha?

Kuasi majeshi au kuanzishwa kikundi cha magaidi ina sababishwa na vitu vingi sana.

Inaweza kuwa ni maswala binafsi au vikundi vinaanzishwa na nchi nyingine ili kupata maslahi fulani sehemu husika.

Al-shabab na Boko Haramu ni vikundi vimeanzishwa kwa maslahi ya kidini hivyi ni jukumu lao kujua silaha wanapata wapi, by any means wananunua au wanapewa na michango inayokusanywa na dini husika.

M23 ni moja ya vikundi vilivyoanzishwa na nchi jirani kwa maslahi ya nchi nyingine, hivyo wanapewa na na hao walio waanzisha.

Kuna wale wanaohasi jeshini, hao wanaondoka na silaha jeshini.

I STAND TO BE CORRECTED

Ahsante mkuu.
 
Hen mgoogle jamaa mmoja anaitwa victor bout hyu jamaa alikuwa billionea akiwa na miaka 39 tu kwa kuuza silaha now anatumikia kifungo cha maisha marekani
 
Kabisaaaaaaa bwana mpuko
Na lazaid laiti kama kungekuwa na m2 au wa2 wanaojua kwa uwaz kabisa jinsi gani siraha zinawakuta hawa jamaa 2ngetumia nafasi hiyo kuziba u a wa ugaidi DUNIANI

Watu sio kwamba hawajui, lakini nchi zinazowafadhili ndio tishio kwao...mfano jiulize kwanini M23 walikimbilia Uganda na wanaishi kwa raha zao huko..?
 
Kwa sasa kina nchi zinahisiwa kuwafadhili magaidi, ni nchi ambazo wala hautasikia zikishambuliwa na ugaidi mojawapo Germany na France.
 
Habari zenu wakati jamvi.
Naomba kujuzwa. Hivi vikundi vya waasi, maharamia, magaidi nakadhalika. Huwa wanapata wapi silaha, mafunzo na vifaa vingine vya kijeshi? Huwa vinapitishwa wapi ili kuwafikia? Ni nani anaevifadhili na ni kwa faida ya nani? Kwa leo ni hayo.

Kungekua na majibu rahisi ya hayo maswali dunia ingekua salama kabisa. Kiukweli ni vigumu kujua wanapata wapi siraha na mafunzo
 
Kungekua na majibu rahisi ya hayo maswali dunia ingekua salama kabisa. Kiukweli ni vigumu kujua wanapata wapi siraha na mafunzo

Mkuu lete basi majibu magumu yenye ufafanunuzi Wa kutosha mbona una kosoa bila kuletamajibu sahihi
 
Ni rahisi mno kumpata adui wa adui yako, kwa sababu kila mtu anae wakwake!
KAZI NI MUMFANYA AWE RAFIKI YAKO WA DHATI, NA JE, ANA TIJA?
 
Kuasi majeshi au kuanzishwa kikundi cha magaidi ina sababishwa na vitu vingi sana.

Inaweza kuwa ni maswala binafsi au vikundi vinaanzishwa na nchi nyingine ili kupata maslahi fulani sehemu husika.

Al-shabab na Boko Haramu ni vikundi vimeanzishwa kwa maslahi ya kidini hivyi ni jukumu lao kujua silaha wanapata wapi, by any means wananunua au wanapewa na michango inayokusanywa na dini husika.

M23 ni moja ya vikundi vilivyoanzishwa na nchi jirani kwa maslahi ya nchi nyingine, hivyo wanapewa na na hao walio waanzisha.

Kuna wale wanaohasi jeshini, hao wanaondoka na silaha jeshini.

I STAND TO BE CORRECTED
Kwa nini nchi zinazotengeza silaha,ambazo ni America,na baadhi ya nchi za ulaya,wanawauzia vikundi hivi,kama na hizo nchi hazihusiki kwenye vita hivi?
 
mkuu achana na huyo mtoto,nafikiri akikua ataacha huo ujinga wa kuropoka ropoka tu bila staha.

Ilakweli jf ni kisima cha maarifa nimecheka sana kumwambia huyo jamaa kwamba hapa siyo facebook.
 
Kwa nini nchi zinazotengeza silaha,ambazo ni America,na baadhi ya nchi za ulaya,wanawauzia vikundi hivi,kama na hizo nchi hazihusiki kwenye vita hivi?

Maslahi ya kiuchumi tu ndugu yangu, hata hvyo ni biashara tu, wanatengeneza faida
 
wanaweza kuuziwa kutoka jeshini kwenyewe kulingana na udhaifu ulipo na rushwa mfano DRC na M23, au wanazinunua kimagendo kutoka kwa vikundi ndani ya mataifa kama ya uarabuni na kusafirisha kwa magendo au kupitia nchi jirani ambazo hazipendani na ndani ya nchi hizo kuna waasi, kwa hiyo kama jirani yako ni adui yako anampatia muasi wa nchini mwako silaha na kama mnatenganishwa na msitu mnene inatoa cover nzuri kwa usafirishaji, hasa nchi za Africa Magharibi
 
Marekani na nchi za magharibi ndio wafadhili wakuu wa ugaidi duniani
 
NI kwanini huko ulaya hakuna vikundi wa kigaidi na waasi.
na hao watu wanapatikana africa na matukio yapigwa Africa tu.
zinduka wewe black man
 
Wananunua toka wauzaji haramu WA silaha, Mara nyingi wastaafu WA mashirika ya kijasusi ulaya na marekani wamekua washiriki wakuu katika deals kama hizi, mfano nchi za maziwa makuu, bishara hii imkua ikifanyika kwa kubasilishana silaha na madini mfano dhahabu, almasi na shaba
 
Back
Top Bottom