Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ona huyu alivyobanwa na anavyojikanyagaHili Jambo la wagombea kutowapa wananchi nafasi walau tano za kuwauliza maswali katika kampeni zao ni uwoga wao au haipogo hi kitu kwa mujibu wa Sheria za kampeni?
Kuna watu wangekuwa wanapanga wauliza maswali
Magufuli hana usomi wowote huyo mbulula tu ,elimu yake ya kukariri basi lakini uwezo wa kuchambua mambo hana...Magufuli hataki hata maswali toka kwa watu waliopangwa.
..sijaona msomi anayeogopa dialogue kama Magufuli.
Mtaalamu wa ngono uzembe kajikanyaga kashindwa kabisa kujibu swali.Ona huyu alivyobanwa na anavyojikanyagaView attachment 1575343
Hata mimi nataka iwe ivyo sio mtu anabwabwaja tu hii sio hakiHili Jambo la wagombea kutowapa wananchi nafasi walau tano za kuwauliza maswali katika kampeni zao ni uwoga wao au haipogo hi kitu kwa mujibu wa Sheria za kampeni?
Ona huyu alivyobanwa na anavyojikanyaga
View attachment 1575343
Gwajima very smart. Mdee zaidi ya ile sauti yake ngumu amewasaidia nini watu wa Kawe?. Ndio maana safari hii hatutaki betri nzuri na magunzi.Ona huyu alivyobanwa na anavyojikanyaga
View attachment 1575343
Sio kaliba yake...yeye kazoea kuhubiri bila kuhojiwaMtaalamu wa ngono uzembe kajikanyaga kashindwa kabisa kujibu swali.
Aisee kama huo ndio u smart basi bado tuna safari ndefu sanaGwajima very smart. Mdee zaidi ya ile sauti yake ngumu amewasaidia nini watu wa Kawe?. Ndio maana safari hii hatutaki betri nzuri na magunzi.
🤣🤣🤣Tafadhali mtoa mada usije kuuliza kwa lugha ya malkia.
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app