barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Habari zenu!
Kwanza NAPENDA NIJIPONGEZE na NIWAPONGEZE mashabiki, wapenzi na wadau wote wa Simba kwa ushindi wa jana dhidi ya watani zetu wa jadi, Yanga. Leo mtaani kutamu kweli, watani kama wamelowekwa maji, wapoleeee na heshima ipo.
Lengo la huu uzi ni kuhusu huyu msemaji wa Simba, Haji Manara. Jamaa ni kama kaapishwa na kanywa maji ya bendera ya Simba. Humuelezi kitu kuhusu Simba. Ni shabiki wa kutupwa wa Simba. Sasa najiuliza, hivi baba zake Sunday Manara (baba yake mzazi), Kitwana Manara na Kassim Manara ambao hawa ni Yanga damu na walichezea Yanga enzi zao, walishindwa kumshawishi mwanao kuwa upande wao??
Ningependa sana siku Sunday Manara na hao Manara wengine wahojiwe na watueleze ilikuaje kuaje mpaka Haji akahasi maana nina uhakika walijaribu kila wawezalo ila ilishindikana.
THIS IS SIMBA.
Hii jana hapo taifa. Alihamasisha sana kabla ya mechi wana simba waende na hawakumuangusha.
Interview ya Manara.
Kwanza NAPENDA NIJIPONGEZE na NIWAPONGEZE mashabiki, wapenzi na wadau wote wa Simba kwa ushindi wa jana dhidi ya watani zetu wa jadi, Yanga. Leo mtaani kutamu kweli, watani kama wamelowekwa maji, wapoleeee na heshima ipo.
Lengo la huu uzi ni kuhusu huyu msemaji wa Simba, Haji Manara. Jamaa ni kama kaapishwa na kanywa maji ya bendera ya Simba. Humuelezi kitu kuhusu Simba. Ni shabiki wa kutupwa wa Simba. Sasa najiuliza, hivi baba zake Sunday Manara (baba yake mzazi), Kitwana Manara na Kassim Manara ambao hawa ni Yanga damu na walichezea Yanga enzi zao, walishindwa kumshawishi mwanao kuwa upande wao??
Ningependa sana siku Sunday Manara na hao Manara wengine wahojiwe na watueleze ilikuaje kuaje mpaka Haji akahasi maana nina uhakika walijaribu kila wawezalo ila ilishindikana.
THIS IS SIMBA.
Hii jana hapo taifa. Alihamasisha sana kabla ya mechi wana simba waende na hawakumuangusha.
Interview ya Manara.