Nini amekosa AY?

kende

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2013
Posts
3,527
Reaction score
1,668
Jamaa yuko kwenye harakati kitambo kwenye hii game. AY ndo alianza kuwafumbua macho wasanii kuhusu umuhimu wa kufanya collabo na wasanii wa nje ya nchi.

Pia ndo alikuwa msanii wa kwanza bongo kuwa siriaz kuinvest katika video (ki-international zaid) hata Diamond amewahi kulisema hilo kwenye intavyuu zake/kwenye social networks kwamba jamaa ndo kamuinspire.

Sasa nashindwa kuelewa why anashindwa kuwa succesful kivile japo anajituma sana, yaani naona kama ka-stack palepale, nilitamani naye niwe namsikia kwenye mambo makubwa makubwa kama 'bwa mdogo' Diamond ili walau tuwe na wawakilishi wengi nje.

Mi nazan kama vile watanzania hatumpi sapoti ya kutosha kuanzia media hadi mashabiki, maana eg. huu wimbo mpya alioutoa ft Sean Kingston ni mzuri but sioni ukizungumziwa kihivo. So wadau mnahisi AY anafeli wapi?
 

Jamaa dawa zake zinashia studio labda, amuulize Platnum anatoa wapi dawa zake.
 
tatizo nyota halafu siku hizi nyimbo zake sio nzuri kama kipindi kile mfano ngoma ya machoni kama watu na yule nilikua nazipenda sana
 
Ay hapendi kujichanganya ndio tatizo. Sahivi kidogo ndio naona anajichanganya huko insta na alberto msando angalau!
 
AY ni msanii mwenye mafanikio makubwa kuliko yoyote ukitoa jide ila hapendi kujisifia ni mkimya wala hapendi skendo.

Tatizo lenu mtu anayejionyesha ndio mnajua ana mafanikio .Mimi namfahanu sana AY ana mafanikio makubwa sana na show nyingi anapiga nje mfano show anazopiga Kenya na Uganda ata zinazidi Tz

Uwa apendi kujifagilia na kujionyesha kama wengine ni mkimya pia mfanyabiashara anewekeza Tz ata kenya pia
 
Nani kakwambia AY ka stack? umetumia vigezo vipi labda ku conclude kua Diamond ana mafanikio makubwa kuliko AY?
Au coz hajatembea na msululu wa wasanii wa bongo muvi ndo unasema hana mafanikio ?
 
Nani kakwambia AY ka stack? umetumia vigezo vipi labda ku conclude kua Diamond ana mafanikio makubwa kuliko AY?
Au coz hajatembea na msululu wa wasanii wa bongo muvi ndo unasema hana mafanikio ?

Hapo umenena mkuu.
 

mafanikio hayafichiki bro
 
hivi mafanikio kwenye hii bongofleva mnayapimaje?

Tukiwawekea vitu anavyofanya AY mtabaki mnashangaa tu hapa!!
 
Nani kakwambia AY ka stack? umetumia vigezo vipi labda ku conclude kua Diamond ana mafanikio makubwa kuliko AY?
Au coz hajatembea na msululu wa wasanii wa bongo muvi ndo unasema hana mafanikio ?

Anapata shows kubwa za kimataifa,kawa recognized kimataifa kwa tuzo zaid ya nne. Angalia views za YOU TUBE kati ya nyimbo mbili za hawa wasanii, Ntampata wapi--Diamond na Touch Me ya AY uone utofauti japo AY kamshirikisha msanii mkubwa duniani Sean Kingston. Mi namkubali sana AY but kwenye ukweli tuseme,jamaa hajapata mafanikio kama anayostahili ayapate
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…