Nini asili ya jina Tanganyika na Nani alilitunga jina hili?

Nini asili ya jina Tanganyika na Nani alilitunga jina hili?

Hivi Bagamoyo ilikuwa na nafasi gani?
 
Hivi Bagamoyo ilikuwa na nafasi gani?

Bagamoyo ndiyo Uliokuwa mji wa Kwanza Wajerumani walioanza kuutumia kama mji Mkuu, lkn walikuja kuhamamia Dar walipogundua Eneo la Dar llinafaa zaidi kwa Ujenzi wa Bandari kwa sababu kina chake ni kirefu na ni cha Asili, ndio sababu hasa ya Kuhama Bagamoyo!
 
Mtoa mada usione tabu kusema nyerere ndie msaliti wa watanganyika.
 
Tanganyika maana yake ni shamba la katani(Sisal farm)
Source-wikipedia
 
Tanga ndiyo ilikuwa sehemu waliyoipenda sana wajerumani hivyo waliwabeba vibarua kutoka sehemu mbalimbali kuelekea tanga ule umbali wa kutoka mikoa mbalimbali kwenda tanga tena nyikani ikawa wanaita nyika za kwenda tanga au tanganyika. Kwa ufupi ni msitu wa tanga au mwitu wa tanga hilo tanganyika walilijenga wenyewe wabantu wakimaanisha msitu wa kuelekea tanga hivyo basi wajeruma walitumia hilo kama jinsi ya kuitambua
 
Haijalishi jina Tanganyika walilitoa wapi, tunaitaka Tanganyika yetu. PERIOD!!! Jina ni jina tu, walilitoa wapi, au maana yake ni nini, yote hayo hayana maana!!! Kujua majina Magomeni, Tandika, Temeke, Sinza, Ubungo n.k, maana yake ni nini, au waliyatoa wapi, inatusaidia nini??? Sina haja ya kujua kwamba jina lako ufumawicha lilitoka wapi, au maana yake ni nini; mimi najua wewe unaitwa ufumawicha, basi inatosha! Kazi kubwa ya jina, ni kutofautisha mahali fulani na mahali pengine; kitu fulani na kitu kingine; mtu au kiumbe fulani, na kiumbe au mtu mwingine; n.k. BASI !!!! Narudia tena, bila kujali jina Tanganyika walilitoa wapi, au maana yake ni nini, TUNAITAKA TANGANYIKA YETUUUUUUU !!!!!!! BASIIIII !!!!!!
 
Haijalishi jina Tanganyika walilitoa wapi, tunaitaka Tanganyika yetu. PERIOD!!! Jina ni jina tu, walilitoa wapi, au maana yake ni nini, yote hayo hayana maana!!! Kujua majina Magomeni, Tandika, Temeke, Sinza, Ubungo n.k, maana yake ni nini, au waliyatoa wapi, inatusaidia nini??? Sina haja ya kujua kwamba jina lako ufumawicha lilitoka wapi, au maana yake ni nini; mimi najua wewe unaitwa ufumawicha, basi inatosha! Kazi kubwa ya jina, ni kutofautisha mahali fulani na mahali pengine; kitu fulani na kitu kingine; mtu au kiumbe fulani, na kiumbe au mtu mwingine; n.k. BASI !!!! Narudia tena, bila kujali jina Tanganyika walilitoa wapi, au maana yake ni nini, TUNAITAKA TANGANYIKA YETUUUUUUU !!!!!!! BASIIIII !!!!!!

Viroba at work... ukishaipata tanganyika ndo iweje? Kipi umekikosa tz unahisi utakipata tg? Mwisho wa siku naona kama unajijibu... iitwe tanganyika au tanzania yote ni sawa tu k/sbb ni majina tu yasiyokuwa na umuhm wowote na yametumika kama kitambulisho cha kutofautisha kati ya kitu kimoja na kitu kingne...
 
Kuirudia tanganyika haitusaidii kitu chochote. Na wengi wao tumezaliwa tumeikuta tanzania hivyo hatuna haja ya kuijua tanganyika.

Shida zako kama mtanzania hazitaondolewa kwa kurudisha jina tanganyika bali kwa kuchapa kazi na kuwachagua viongozi makini.
Acheni tabia zenu za kutugawa kwa kivuli cha serikali 3... mshindwe na mlegee.
 
Kuirudia tanganyika haitusaidii kitu chochote. Na wengi wao tumezaliwa tumeikuta tanzania hivyo hatuna haja ya kuijua tanganyika.

Shida zako kama mtanzania hazitaondolewa kwa kurudisha jina tanganyika bali kwa kuchapa kazi na kuwachagua viongozi makini.
Acheni tabia zenu za kutugawa kwa kivuli cha serikali 3... mshindwe na mlegee.

Ccm mna laana na tayari mmeshatuletea dengue fever mkitengeneza madili yenu
 
Tanga ndiyo ilikuwa sehemu waliyoipenda sana wajerumani hivyo waliwabeba vibarua kutoka sehemu mbalimbali kuelekea tanga ule umbali wa kutoka mikoa mbalimbali kwenda tanga tena nyikani ikawa wanaita nyika za kwenda tanga au tanganyika. Kwa ufupi ni msitu wa tanga au mwitu wa tanga hilo tanganyika walilijenga wenyewe wabantu wakimaanisha msitu wa kuelekea tanga hivyo basi wajeruma walitumia hilo kama jinsi ya kuitambua
There you are! That is true.
 
Back
Top Bottom