crankshaft
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,427
- 3,438
Financial Fair Play (FFP) ina sisitiza matumizi sahihi ya pesa ili kuwe na Fair Competition (FC) ili kuzilinda club ambazo hazina wawekezaji wenye pesa zakumwaga.
Ukiruhusu tu umwagaji wa hela kiholela kunakuwa hakuna tena ushindani huru maana ma tycoon wa kiarabu wao pesa kwenye mpira wala hata hawaangalii ROI (Return On Investment) wao wanataka tu starehe.
Hiyo ni case nyingine, ujue hii issue ya Man City sio ya jana. Wameanza kuchunguzwa miaka minne iliyopita.na kwa chelsea vipi ? Mbona nao wamefanya matumizi makubwa sana chini ya huyu bosi mpya?
Chelsea 5 years wameuza wachezaji kadhaa na walifungiwa usajili pia.na kwa chelsea vipi ? Mbona nao wamefanya matumizi makubwa sana chini ya huyu bosi mpya?