Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,647
Hakuna safari ndefu kama safari ya mahusiano huwa ina mabonde na malima lakini Moja kati ya changamoto kubwa katika mahusiano kuelekea ndoa ni wazazi kupinga au kumkataa mchumba unayetaka kumuoa au kuolewa kwa sababu mbalimbali wanazozijua wao.
Ni kitu gani cha kufanya katika hili?
Ni kitu gani cha kufanya katika hili?