Nini Cha kujifunza toka kwenye Picha hii?

acha kejeli

umeme mitambo ya Dowana na IPTL ipo sema nyie mnaojiita wapiganaji hamtaki iwashwe.

hebu mpumzishe rais wetu sie

GT kukataliwa kuwashwa kwa mitambo kumekunyima ulaji kwasababu wafadhili wako ndio wenye mitambo!! Endelea kumtetea Jakaya kama ulivyosema, unamtetea mpaka kichwa kinakuuma; pole sana!
 
Funzo la picha

Tanzania: Katika viongozi 8, kuna wanaume 5 na mwanamke 1. Aidha kuna mwanamme 1 mtarajiwa (kijana afungwaye gidamu) na mwanamke 1 mtarajiwa (anayeonekana kidogo kwa nyuma).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…