kimara Kimara
Member
- Jul 7, 2024
- 80
- 173
Habari za Muda Huu waungwana,
Kwa wale Mliowahi kupata Watoto, mkawakuza mpaka Wakakua na afya njema, Mlizingatia mambo yapi Pindi walipozaliwa?
Mimi niliwahi kupata mtoto, Bahati mbaya akafariki, Ninaomba kujuzwa wa wenye uzoefu ni mambo gani Muhimu kuzingatia.
Mambo baadhi ninayohutaji kuyajua.
1. Mtoto anapaswa kuanza kushikwa na watu akiwa na muda gani? (Watu wanaokuja kusalimia)
2. Ni muda Upi sahihi wa kutoa taarifa kua umepata mtoto kwa watu wako wa karibu. (Kabla ya arobaini ama baada ya arobaini)
3. Unajikinga Vipi na Husda na Vijicho vya watu wabaya Juu ya Mtoto wako mchanga?
4. Je, Baba mtoto akianza kuchepuka nje na wanawake wengine mtoto anaweza kuanza kuugua?
5. Mtoto akiwa anashikwa shikwa na watu wa nje waliotoka kufanya zinaa anaweza dhurika?
6. Kifanyike nini ili mtoto awe na afya nzuri na imara?
7. Kitovu cha mtoto mchanga kinatupwa wapi ama kinatunzwa?
Na mengine ambayo siyajui naomba kuyajua, natanguliza shukrani. [emoji120]
Kwa wale Mliowahi kupata Watoto, mkawakuza mpaka Wakakua na afya njema, Mlizingatia mambo yapi Pindi walipozaliwa?
Mimi niliwahi kupata mtoto, Bahati mbaya akafariki, Ninaomba kujuzwa wa wenye uzoefu ni mambo gani Muhimu kuzingatia.
Mambo baadhi ninayohutaji kuyajua.
1. Mtoto anapaswa kuanza kushikwa na watu akiwa na muda gani? (Watu wanaokuja kusalimia)
2. Ni muda Upi sahihi wa kutoa taarifa kua umepata mtoto kwa watu wako wa karibu. (Kabla ya arobaini ama baada ya arobaini)
3. Unajikinga Vipi na Husda na Vijicho vya watu wabaya Juu ya Mtoto wako mchanga?
4. Je, Baba mtoto akianza kuchepuka nje na wanawake wengine mtoto anaweza kuanza kuugua?
5. Mtoto akiwa anashikwa shikwa na watu wa nje waliotoka kufanya zinaa anaweza dhurika?
6. Kifanyike nini ili mtoto awe na afya nzuri na imara?
7. Kitovu cha mtoto mchanga kinatupwa wapi ama kinatunzwa?
Na mengine ambayo siyajui naomba kuyajua, natanguliza shukrani. [emoji120]