Nini cha kuzingatiwa pindi mtoto mchanga anapozaliwa

Nini cha kuzingatiwa pindi mtoto mchanga anapozaliwa

Habari za Muda Huu waungwana,

Kwa wale Mliowahi kupata Watoto, mkawakuza mpaka Wakakua na afya njema, Mlizingatia mambo yapi Pindi walipozaliwa?

Mimi niliwahi kupata mtoto, Bahati mbaya akafariki, Ninaomba kujuzwa wa wenye uzoefu ni mambo gani Muhimu kuzingatia.

Mambo baadhi ninayohutaji kuyajua.

1. Mtoto anapaswa kuanza kushikwa na watu akiwa na muda gani? (Watu wanaokuja kusalimia)

2. Ni muda Upi sahihi wa kutoa taarifa kua umepata mtoto kwa watu wako wa karibu. (Kabla ya arobaini ama baada ya arobaini)

3. Unajikinga Vipi na Husda na Vijicho vya watu wabaya Juu ya Mtoto wako mchanga?

4. Je, Baba mtoto akianza kuchepuka nje na wanawake wengine mtoto anaweza kuanza kuugua?

5. Mtoto akiwa anashikwa shikwa na watu wa nje waliotoka kufanya zinaa anaweza dhurika?

6. Kifanyike nini ili mtoto awe na afya nzuri na imara?

7. Kitovu cha mtoto mchanga kinatupwa wapi ama kinatunzwa?

Na mengine ambayo siyajui naomba kuyajua, natanguliza shukrani. [emoji120]
1. walau kuanzia siku saba ndo inapendeza watu kuja kushika mtoto.

2. Kwa wakaribu zaid hususani ndg zako wa damu na ukwen kwako taarifa n cku hyohyo mkeo anapojifungua, kwa marafk baki hakun madhara n ww utavoona inafaa ata baada ya 40

3. Husda zpo hususani mazongo kwa watt lkn kun wanawafunga mjongoo watt mikononi kwa mtaalamu hapa zile familia za kipwani, lkn la muhimu dua nyingi kwa mwanao.

4. Ukichepuka nje ya ndoa ukirud kwako kabla ya kufanya lolote n kuoga na kujitwarisha ndo umshike mwanao lasivyo utamu haribu mtoto, waswahil wanakwambia utambemenda, sio ww baba kuchepuka nje tu ata ukimgegeda huyo mama watoto wako hakikisha mnaoga kabla hamjamshika mtoto, ata ikitokea mtt analia kufa n marufuku kwenda mnyonyesha au kumshika bila kuoga.

5. Hawez kudhurika mana hakuna bond yoyote, madhara ni nyie wawil baba au mama akagegedane huko thn bila kuoga amshike mwanae.

6. Mtoto Anyonye kisawasawa hususani sku saba za mwanzo, mpe Lishe bora mama watoto hasikose supu ndani ya sku 40, uji wenye virutubisho, matunda vita fanya maziwa yawe mengi na yenye Kinga nzuri kwa mtoto.

7. Kwa jamii nying za kipwani kitovu huwa kinafukiwa baadaa ya sku 40, ata nywele za mtt zile za kwanza kukatwa znazikwa.

MUHIMU: Mzazi ndani ya miez sita hatakiwi kujipuliza perfume, spray na chochote chenye harufu kali kitamsababishia mtoto kupata mafua mara kwa mara.
 
1. utaweza kuwakataza watu wasimshike mwanao kweli? inaonesha ni first born

2. immediately baada ya mkeo kujifungua salama salmini usiishi as if huna majiran wala ndugu wanao kuzunguka

3. mkabidhi mtoto kwa aliemuumba kwanza huwezi kuzuia ukifanikiwa kumkabidhi utaona mtoto nakua bila shida

4. wahenga huamini hivo ndio mana atatakiwa aoge kabla hajamshika mtoto this applies to both parents i mean mama na baba

5. sijui

6.mama anyonyeshe miezi sita mfululizo bila kumpa chochote mtoto, baada ya hiyo miezi azingatie lishe mtoto hua na afya njema

7.si ukafukie chini tu unakitunza unataka kikakae kwneye nakumbusho yataifa unafikiri utalipwa??
 
Me kwa mwanangu nimetilia sana mkazo iyo no 3 kwa kutokuruhusu mtot kutolewa nja kila wakati na kwangu hakuji wageni mara kwa mara
mda mwingi sana yupo ndani tu mpk sas anakaribia miaka 2 yupo vzr na mwenye afya tele
Asante Sana, ila wanasema ni vizuri kumbadilishia mazingira asikae sana sehem moja.
 
Habari za Muda Huu waungwana,

Kwa wale Mliowahi kupata Watoto, mkawakuza mpaka Wakakua na afya njema, Mlizingatia mambo yapi Pindi walipozaliwa?

Mimi niliwahi kupata mtoto, Bahati mbaya akafariki, Ninaomba kujuzwa wa wenye uzoefu ni mambo gani Muhimu kuzingatia.

Mambo baadhi ninayohutaji kuyajua.

1. Mtoto anapaswa kuanza kushikwa na watu akiwa na muda gani? (Watu wanaokuja kusalimia)

2. Ni muda Upi sahihi wa kutoa taarifa kua umepata mtoto kwa watu wako wa karibu. (Kabla ya arobaini ama baada ya arobaini)

3. Unajikinga Vipi na Husda na Vijicho vya watu wabaya Juu ya Mtoto wako mchanga?

4. Je, Baba mtoto akianza kuchepuka nje na wanawake wengine mtoto anaweza kuanza kuugua?

5. Mtoto akiwa anashikwa shikwa na watu wa nje waliotoka kufanya zinaa anaweza dhurika?

6. Kifanyike nini ili mtoto awe na afya nzuri na imara?

7. Kitovu cha mtoto mchanga kinatupwa wapi ama kinatunzwa?

Na mengine ambayo siyajui naomba kuyajua, natanguliza shukrani. [emoji120]
Acha mambo ya kiswahili.
 
Kazi kwelikweli... binafsi huwa nasubiri wamalize miezi mitatu (baada ya chanjo) kabla ya kuanza kupokea wageni wa kuja kuniona...

Sababu ni kuhitaji tu kupumzika mimi binafsi na kuacha mtoto akomae kwanza

Kitovu ni wewe tu, ukichoma au ukiflash uwani fresh

Mtoto kukua vyema ni lishe tu na kumpa muda wako kama mzazi, then mengine nature itaamua

Yaliyobaki wenye uzoefu watajibu
Asante sana ndugu mzazi [emoji120]
 
1. walau kuanzia siku saba ndo inapendeza watu kuja kushika mtoto.

2. Kwa wakaribu zaid hususani ndg zako wa damu na ukwen kwako taarifa n cku hyohyo mkeo anapojifungua, kwa marafk baki hakun madhara n ww utavoona inafaa ata baada ya 40

3. Husda zpo hususani mazongo kwa watt lkn kun wanawafunga mjongoo watt mikononi kwa mtaalamu hapa zile familia za kipwani, lkn la muhimu dua nyingi kwa mwanao.

4. Ukichepuka nje ya ndoa ukirud kwako kabla ya kufanya lolote n kuoga na kujitwarisha ndo umshike mwanao lasivyo utamu haribu mtoto, waswahil wanakwambia utambemenda, sio ww baba kuchepuka nje tu ata ukimgegeda huyo mama watoto wako hakikisha mnaoga kabla hamjamshika mtoto, ata ikitokea mtt analia kufa n marufuku kwenda mnyonyesha au kumshika bila kuoga.

5. Hawez kudhurika mana hakuna bond yoyote, madhara ni nyie wawil baba au mama akagegedane huko thn bila kuoga amshike mwanae.

6. Mtoto Anyonye kisawasawa hususani sku saba za mwanzo, mpe Lishe bora mama watoto hasikose supu ndani ya sku 40, uji wenye virutubisho, matunda vita fanya maziwa yawe mengi na yenye Kinga nzuri kwa mtoto.

7. Kwa jamii nying za kipwani kitovu huwa kinafukiwa baadaa ya sku 40, ata nywele za mtt zile za kwanza kukatwa znazikwa.

MUHIMU: Mzazi ndani ya miez sita hatakiwi kujipuliza perfume, spray na chochote chenye harufu kali kitamsababishia mtoto kupata mafua mara kwa mara.
Asante sana nimejifunza kitu [emoji120]
 
1. utaweza kuwakataza watu wasimshike mwanao kweli? inaonesha ni first born

2. immediately baada ya mkeo kujifungua salama salmini usiishi as if huna majiran wala ndugu wanao kuzunguka

3. mkabidhi mtoto kwa aliemuumba kwanza huwezi kuzuia ukifanikiwa kumkabidhi utaona mtoto nakua bila shida

4. wahenga huamini hivo ndio mana atatakiwa aoge kabla hajamshika mtoto this applies to both parents i mean mama na baba

5. sijui

6.mama anyonyeshe miezi sita mfululizo bila kumpa chochote mtoto, baada ya hiyo miezi azingatie lishe mtoto hua na afya njema

7.si ukafukie chini tu unakitunza unataka kikakae kwneye nakumbusho yataifa unafikiri utalipwa??
Asante
 
Mkuu ni hivi: mtoto anyonye miezi 6 kama mama ana maziwa ya kutosha. Kama hana weka na formula. Awe msafi muda wote na malazi yake yawe masafi. Chakula katika hali ya usafi.

Ukiweza pia Chemsha maji yake ya kuoga (kama maji ya kunywa). Usikose clinic miaka 2 ya mwanzo. Hivyo tu. Kitovu sijui nini sio issue. Mtoto kaa nae apate hewa ya nje. Ukiwa dar usimtie minguo mizito.
 
Mkuu ni hivi: mtoto anyonye miezi 6 kama mama ana maziwa ya kutosha. Kama hana weka na formula. Awe msafi muda wote na malazi yake yawe masafi. Chakula katika hali ya usafi.

Ukiweza pia Chemsha maji yake ya kuoga (kama maji ya kunywa). Usikose clinic miaka 2 ya mwanzo. Hivyo tu. Kitovu sijui nini sio issue. Mtoto kaa nae apate hewa ya nje. Ukiwa dar usimtie minguo mizito.
Nimekupata kaka, nmekupata sana kaka shukran
 
Habari za Muda Huu waungwana,

Kwa wale Mliowahi kupata Watoto, mkawakuza mpaka Wakakua na afya njema, Mlizingatia mambo yapi Pindi walipozaliwa?

Mimi niliwahi kupata mtoto, Bahati mbaya akafariki, Ninaomba kujuzwa wa wenye uzoefu ni mambo gani Muhimu kuzingatia.

Mambo baadhi ninayohutaji kuyajua.

1. Mtoto anapaswa kuanza kushikwa na watu akiwa na muda gani? (Watu wanaokuja kusalimia)

2. Ni muda Upi sahihi wa kutoa taarifa kua umepata mtoto kwa watu wako wa karibu. (Kabla ya arobaini ama baada ya arobaini)

3. Unajikinga Vipi na Husda na Vijicho vya watu wabaya Juu ya Mtoto wako mchanga?

4. Je, Baba mtoto akianza kuchepuka nje na wanawake wengine mtoto anaweza kuanza kuugua?

5. Mtoto akiwa anashikwa shikwa na watu wa nje waliotoka kufanya zinaa anaweza dhurika?

6. Kifanyike nini ili mtoto awe na afya nzuri na imara?

7. Kitovu cha mtoto mchanga kinatupwa wapi ama kinatunzwa?

Na mengine ambayo siyajui naomba kuyajua, natanguliza shukrani. [emoji120]
[/QUOTE]

1. asomewe dua kabla ya kukutana na watu tofauti.

2. unaweza kutoa taarifa muda wowote.ili kukalibisha hongera za watu wako wakalibu.

3. dua ya kwanza inatosha kumlinda mtoto hadi anapopaya dua ya pili siku ya 40 linaposimikwa jina lake.

4 ndio.

5. ndio...maana ni wachafu wakati yeye ni msafi.

6. chakula bora kwa mama wa mtoto,kama afya ya mama ni dhaifu kutokana na uwezo wetu na mpangilio duni kwa sisi watanzania usifuate ushahidi wa kunyonyesha mtoto kwa miezi 6 kwa kutegemea nyonyo lako tu.jitahidi maziwa ya ziada pale unapojiweza na angalau maada ya miezi miwili mitatu muanzishie uji mwembamba kama maji.

7. tunza sehemu yako siri akikua unaweza kumkabidhi akakifukie mwenyewe, au ukifukie mwenyewe ikishapita 40.hakikisha unafukia sehem ya siri pia.

8. chumba kiwe na hewa ya kutosha.

9. epuka makelele,kufungulia redio kwa nguvu na miziki ya sauti ya kelo.

10 epuka luga za matusi na zinazofanana na hizo maana akili ya mtoto inahisi na inatunza kwenye akili yake

11. nk.nk....
 
Back
Top Bottom