Nini chakusomaa baada ya kumaliza bachelor of law tofauti na law school


By iPad ya Apple
"Da! Mhe. TUNDU LISSU, alisema ma judge wa Mahakama kuu hasa anaoteua jamaa yetu wa Mgagogoni hawajui kiingereza


mimi nasema Mahakimu wa mahakama za mwanzo na wa wilaya hawajui kiswahili. pamoja na wanasheria uchwara kama huyu. Ila kwa kuwa upo TUMAINI sawa ungekuwa UDSM hata huo mwaka wa mwisho usingefika.

Anyway ukimaliza nenda usome BED in Kiswahili. hapo sasa utaweza kusoma na kuandika vifungu kwa ufasaha."
Nadhani huo ushauri ungempa huyo aliyoandika hayo, by the way I was asking him not you,
 
LL,B Tumaini ni mwendo wa mafirst class na upper second
 
LL,B Tumaini ni mwendo wa mafirst class na upper second

Tumaini ya wapi hiyo? Tumaini ya Iringa sasa Chuo kikuu cha Iringa toka kina kinaanza kimetoa first class moja tu. Fanya uchunguzi mwepesi tu majaji wanaolalamikiwa kwa kuwa wabovu wamesoma wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…