Nini chakusomaa baada ya kumaliza bachelor of law tofauti na law school

Nini chakusomaa baada ya kumaliza bachelor of law tofauti na law school

MikeMwani

Member
Joined
Nov 24, 2011
Posts
10
Reaction score
0
Habari wana JF me ni mwanafunzi wa shelia mwaka wa mwisho Iringa ningependa kuongeza taharuma zaidi ninapo hitimu degree yangu lakini katika fani tofauti ambayo nitaweza kuattach na field yangu ya shelia bila kupitia law school hivyo naomba ushauli wenu nini naweza kusoma kama post graduate baada ya kumaliza undergraduate. Ntashukuru kwa mawazo yenu na nitayafanyia kazi
 
Usipoenda law school ndo utateseka zaidi coz hutakuwa mwanasheria uliyesajiliwa so kuna kazi hutaweza fanya kama zile za mahakama kuu.
 
Habari wana JF me ni mwanafunzi wa shelia mwaka wa mwisho Iringa ningependa kuongeza taharuma zaidi ninapo hitimu degree yangu lakini katika fani tofauti ambayo nitaweza kuattach na field yangu ya shelia bila kupitia law school hivyo naomba ushauli wenu nini naweza kusoma kama post graduate baada ya kumaliza undergraduate. Ntashukuru kwa mawazo yenu na nitayafanyia kazi
kasome masters in International Business Law. Labda utakuja kuisadia nchi hii dhidi ya mikataba ya uwekezaji wa kimataifa.
 
Habari wana JF me ni mwanafunzi wa shelia mwaka wa mwisho Iringa ningependa kuongeza taharuma zaidi ninapo hitimu degree yangu lakini katika fani tofauti ambayo nitaweza kuattach na field yangu ya shelia bila kupitia law school hivyo naomba ushauli wenu nini naweza kusoma kama post graduate baada ya kumaliza undergraduate. Ntashukuru kwa mawazo yenu na nitayafanyia kazi

Dah..! kama wewe ni mwanafunzi wa sheria na uko hivyo, nakushauri ukihitimu hiyo shahada yako (kama kweli) ukapige kozi fupi ya kusoma na kuandika ili urekebishe humo kwenye bold, then uje tukushauri, otherwise naogopa sana...
 
yaani wewe ni msomi wa hajabu sana at this level unataka watu wakushauri cha kusoma??? na watoto wasemeje? you have no dream?
 
kasome masters in International Business Law. Labda utakuja kuisadia nchi hii dhidi ya mikataba ya uwekezaji wa kimataifa.

Yeah itamsadia kuwa mwanasheria fisadi kama mkono
 
Kasome law in oil and gas,,utatusaaidia kusaini mikataba ya mafuta na gesi kwa nchgi yetu inayotarajia kua na uchumi wa gesi miaka kumi ijayo
 
Nafikiri si muhimu sana kuwekeza nguvu nyingi kukosoa uandishi wake ama matamshi kama shelia nk rather muhimu ni kumshauri juu ya suala la msingi alilouliza. Binafsi nakushaur postgrasuate yako angalia sehemu zenye changamoto kwa sasa kama madini gesi na mafuta, kwakuwa serikali haina wataalamu katika fani hizi na kwakuwa mali asili hizi tunazo basi ni fursa kwako kujaribu kusoma mambo kama hayo
 
Dah..! kama wewe ni mwanafunzi wa sheria na uko hivyo, nakushauri ukihitimu hiyo shahada yako (kama kweli) ukapige kozi fupi ya kusoma na kuandika ili urekebishe humo kwenye bold, then uje tukushauri, otherwise naogopa sana...
mkuu, nami nimebaki nashangaa! Nilidhani wanaosoma sheria huwa ni wazuri katika lugha! najiuliza angeandika kiingereza sijui kingesomeka vipi??
 
Kwani ni lazima mtoa mada awe amesomea Tz,kias ajue kiswahili vzuri?
Acheni mambo ya ajabu na kukosoa kusiko na mpango!
BACK TO TOPIC:
Usiogope Law school bhana,si ngumu khvo...
 
Habari wana JF me ni mwanafunzi wa shelia mwaka wa mwisho Iringa ningependa kuongeza taharuma zaidi ninapo hitimu degree yangu lakini katika fani tofauti ambayo nitaweza kuattach na field yangu ya shelia bila kupitia law school hivyo naomba ushauli wenu nini naweza kusoma kama post graduate baada ya kumaliza undergraduate. Ntashukuru kwa mawazo yenu na nitayafanyia kazi

Da! Mhe. TUNDU LISSU, alisema ma judge wa Mahakama kuu hasa anaoteua jamaa yetu wa Mgagogoni hawajui kiingereza

mimi nasema Mahakimu wa mahakama za mwanzo na wa wilaya hawajui kiswahili. pamoja na wanasheria uchwara kama huyu. Ila kwa kuwa upo TUMAINI sawa ungekuwa UDSM hata huo mwaka wa mwisho usingefika.

Anyway ukimaliza nenda usome BED in Kiswahili. hapo sasa utaweza kusoma na kuandika vifungu kwa ufasaha.
 
pole ni mgeni kidogo wa lugha ya kiswahili@ fisi, jf senior
 
Kwani ni lazima mtoa mada awe amesomea Tz,kias ajue kiswahili vzuri?
Acheni mambo ya ajabu na kukosoa kusiko na mpango!
BACK TO TOPIC:
Usiogope Law school bhana,si ngumu khvo...
wewe uliye "back to topic" kwani mleta "kihoja"
amedai anaogopa au anaomba msaada wa mawazo????
ANGALIZO: UKIONA MTU ANASIFIA/KUTETEA HARUFU YA "SHUZ" BASI UJUE NA YEYE NI MUACHIA "SHUZ" MARIDADI.
 
Back
Top Bottom