nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,106
- 12,916
Miaka yote nimejikita katika malori..lakini kwa sasa napata upepo ndoto na maono juu ya biashara ya mabasi....lakini si mabasi ya kifahari....hapana ....la hasha.....ni mabasi kwa ajili ya huduma kwa raia....hasa kwenye njia mbazo ni za vumbi ndani ndani nje ya miji..... kwa daladala pamoja na masafa ya kati.....
Mbali na imani za shirki nini hasa kinapelekea biashara kufeli???
Mbali na imani za shirki nini hasa kinapelekea biashara kufeli???