Nini chanzo Biashara ya mabasi kufeli?

nzalendo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,106
Reaction score
12,916
Miaka yote nimejikita katika malori..lakini kwa sasa napata upepo ndoto na maono juu ya biashara ya mabasi....lakini si mabasi ya kifahari....hapana ....la hasha.....ni mabasi kwa ajili ya huduma kwa raia....hasa kwenye njia mbazo ni za vumbi ndani ndani nje ya miji..... kwa daladala pamoja na masafa ya kati.....
Mbali na imani za shirki nini hasa kinapelekea biashara kufeli???
 
sio mzoefu sana ila kwa maoni yangu, biashara imebana kipato, matumizi ni mengi na nauli imewekewa kikomo. Pia, kuna wamiliki ambao wana njaa kiasi kwamba ndo biashara yao ya kula kila siku. Labda pia wanapandisha gharama zao za maisha hivyo gari likija kuhitaji service kubwa, anakuwa hela imembana. Ila ni biashara nzuri ukiwa na usimamizi mzuri na nidhamu ya fedha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…