Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipindi wanajenga ile roundabout aisee ilisaidia sana.Kabisaaaaa!!!
Round about ni suluhisho
Kwa magari yanayopita chini lazima yapite kwa zamu hatimaye foleni, hilo tatizo linatatuliwaje?Huwezi kuwa serious, round about ulinganishe na ile double decker bridge?
Folen inasababishwa sana pale kimara mwsho darajan
Daladala pale Zina fanya kama stend kupakia abiria na lile eneo ni dogo hivyo usababisha kuziba NJIA ilo tatzo nime liona kwa muda, na ni Mala nyingi huwa hivyo kingine ni zile u turn za pale bucha nabaruti zinachangia kwa kiasi
hao planners sijui surveyor kwa njia kuanzia kibo mpaka korogwe sijui hata walifikiria niniNi kweli hata barabara imefinyika kuna wakati magari yanalazimika kutumia lanes za mwendokasi yakifika pale
iko siku ntaamka usiku nikavunje taa zote zile pale solution ni round about taa wapeleke mikoani hukoKabisaaaaa!!!
Round about ni suluhisho
FIFOHiyo sehemu na pia mbezi mwisho zinahitaji round about? Traffic badala ya kufanya kazi nyingine wanabaki kuongoza magari
Uzuri wa round about ni "fisrt in first out" haina haja ya kukaa dk nzima wakati upande mwingine una magari machache au mengi kuliko mwingine.
Mkuu sidhani Kama umeobserve vyema
Foleni inasababishwa zaidi na eneo la korogwe stand kuliko kimara
poa,nakupenda piaMambo Hornet. Nakupenda.
Na wewe ni referee mkuu?Onyango alicheza rafu kubwa ndani ya box referee akapeta.. ili kumlinda mnyama asile mkono..
Why unasema referee hakuwa fair?