Nini chanzo cha nyumba nyingi zinazojengewa Tanzania kubaki mapagala yaliyogeuka magofu?

Nini chanzo cha nyumba nyingi zinazojengewa Tanzania kubaki mapagala yaliyogeuka magofu?

Uza pagala fanya biashara, fuga, lima nunua hisa za UTT Amis au weka fixed deposits n.k badala ya kusubiria uzeeni uje umalizie pagala
Tunatofautiana mtazamo.

Hata kama ni kuuza si kijinga jinga, bora asubiri hiyo miaka 20 ndo auze kuliko kuuza m10 sasa hivi apeleke shambani unless anapewa pesa nzuri sana sasa hivi.

Kuna mzee mmoja mwaka juzi kuaza nusu ya eneo lake ambalo ujanani alinunua below 10m kwa M200 kwa ajili ya kituo cha mafuta. Angeuza mapema miaka 20 nyuma akaweka fixed asingepata hiyo pesa.

Lets say mmiliki yupo 45, Akiweka fixed au utt for 15 years kwamba akifika 60 achukue ajenge na huu mfumuko wa bei hicho kinachoongezeka kwenye hiyo pesa kinaweza kikawa na thamani ndogo kuliko kiwanja kilichokaa miaka 15 kisha akaamua kuuza. Unless hilo eneo liwe la mbali mnoo.
 
Miaka 13 hiyo ni nyumba ya kawaida ya kuishi au kasri! Bila shaka itakuwa bonge la mjengo.
Siyo kasri lakini ni kubwa sana.

Nilichagua ramani kisa ilijengwa na ndugu yangu tajiri kipindi nikiwa na akili za ujana ila kadiri muda ulivyokuwa unaenda nikaja kugundua kumbe hii haikutaka mtu mwenye hela za kuunga unga maana kila nilichogusa kilitaka hela nyingi ambazo sikuwa nikizipata kwa wakati mmoja kipindi hicho.
 
Tanzania wanatamani kujenga nyumba expensive as if ni kitu cha milele na hatimaye hujikuta wanashindwa kumalizia. Tujifunze kwa wakenya ase huwa wanajenga very simple houses
Nyumba ya kuishi huwa haiingizi pesa its wastage of money kutumia hela yako yote kujenga jumba ambalo halikuingizii kitu huku huna mifereji ya hela ya uhakika
 
Nyumba ya kuishi huwa haiingizi pesa its wastage of money kutumia hela yako yote kujenga jumba ambalo halikuingizii kitu huku huna mifereji ya hela ya uhakika
Mkuu kuna sababu kwanini mtu anazika pesa kwenye nyumba isiyomuingizia kitu. Ndo fahari pekee utakayobaki nayo katika utu uzima wako. Zile nyakati za busara zako kuhitajika na jamii zitakapowadia utajisikia fahari na furaha ndugu, jamaa, marafiki sijui wajukuu wanapokuja nyumbani kwako.

Makazi ukiwa kijana hakuna shida wala hakuna umuhimu saaana, unaweza pangisha tu maisha yakaenda.

Tatizo kadri unavyokaa bila kumiliki eneo ndivyo eneo lenye mahitaji muhimu linavyozidi kuwa ghali na ndivyo uhitaji wako wa kukaa hilo eneo unaongezeka sababu ya umri. Sasa ukisema ununue plot ukiwa 40's hiyo plot ungeinunua ukiwa 30's ingekuwa cheap zaidi.

Kosea sasa subiri at 50's na ushazoea kuishi mjini kwa kupangisha, unajuta haswaaaa maana kila plot ya mjini unayogusa haishikiki bei.

Hapa ndo unalazimika kwenda mbali kijijini kuishi pasipo na huduma za kijamii ilihali maisha yako yote umeishi mjini kwa kupangisha na ndipo msongo wa mawazo unaanza.
 
Mkuu kuna sababu kwanini mtu anazika pesa kwenye nyumba isiyomuingizia kitu. Ndo fahari pekee utakayobaki nayo katika utu uzima wako. Zile nyakati za busara zako kuhitajika na jamii zitakapowadia utajisikia fahari na furaha ndugu, jamaa, marafiki sijui wajukuu wanapokuja nyumbani kwako.

Makazi ukiwa kijana hakuna shida wala hakuna umuhimu saaana, unaweza pangisha tu maisha yakaenda.

Tatizo kadri unavyokaa bila kumiliki eneo ndivyo eneo lenye mahitaji muhimu linavyozidi kuwa ghali na ndivyo uhitaji wako wa kukaa hilo eneo unaongezeka sababu ya umri. Sasa ukisema ununue plot ukiwa 40's hiyo plot ungeinunua ukiwa 30's ingekuwa cheap zaidi.

Kosea sasa subiri at 50's na ushazoea kuishi mjini kwa kupangisha, unajuta haswaaaa maana kila plot ya mjini unayogusa haishikiki bei.

Hapa ndo unalazimika kwenda mbali kijijini kuishi pasipo na huduma za kijamii ilihali maisha yako yote umeishi mjini kwa kupangisha na ndipo msongo wa mawazo unaanza.
Nadhani hukunielewa point yangu na ya mleta mada ,hatukatai kujenga tunachozungumzia hapa ni kujenga jumba kubwa sana huki ukiwa huna vyanzo vya uhakika vya kumudu jumba hilo , unaweza kujenga nyumba ya wastani ya kukidhi haja zako na ukaenjoy
Unapokuwa mzee huitaji jumba kubwa namna hiyo maana wakati huo watoto wako watakuwa kwenye nyumba zao wanajitegemea, na kwakuwa umestaafu itakuwa ngumu kwako kuihudumia maana huna nguvu tena ya kutafuta pesa
 
Katika mambo huwa yananishangaza na kunifikirisha sehemu mbalimbali za nchi hii ni uwepo wa majengo mengi ya nyumba za watu walionza kujenga kubaki bila kumaliziwa(mapagala) kwa muda mrefu sana na hatimaye kugeuka magofu.

Tatizo huwa ni nini?

Ni ujenzi wa kukurupuka?

Ujenzi bila kuwa na taarifa muhimu za kutosha? (Ile mtu anaambiwa ukipiga mahesabu sana hutajenga, we anza tu)

Kwa nini mtu anapoona amefikia mahali pumzi katika ujenzi imekata na hakuna dalili ya kuendelea muda mrefu ujao asiliuze tu jengo(pagala) lake na hiyo pesa akaitumia kujaribu kufanya mambo mengine?

Nachelea kusema sekta ya real estate Tanzania inaweza kuwa chanzo cha umasikini mkubwa kwa raia wengi wenye kipato cha kawaida waliojaribu kujiingiza katika hii sekta

Ni hasara kubwa sana kuwa na pagala lililogeuka g

Tunatofautiana mtazamo.

Hata kama ni kuuza si kijinga jinga, bora asubiri hiyo miaka 20 ndo auze kuliko kuuza m10 sasa hivi apeleke shambani unless anapewa pesa nzuri sana sasa hivi.

Kuna mzee mmoja mwaka juzi kuaza nusu ya eneo lake ambalo ujanani alinunua below 10m kwa M200 kwa ajili ya kituo cha mafuta. Angeuza mapema miaka 20 nyuma akaweka fixed asingepata hiyo pesa.

Lets say mmiliki yupo 45, Akiweka fixed au utt for 15 years kwamba akifika 60 achukue ajenge na huu mfumuko wa bei hicho kinachoongezeka kwenye hiyo pesa kinaweza kikawa na thamani ndogo kuliko kiwanja kilichokaa miaka 15 kisha akaamua kuuza. Unless hilo eneo liwe la mbali mnoo.
Hiyo ni picha na tafsiri ya mporomoko wa uchumi wa nchi kwa ujumla wake. Kwamba kipato cha Mtanzania hakimfanyi kukamilisha malengo na kumudu maisha.
 
Nadhani hukunielewa point yangu na ya mleta mada ,hatukatai kujenga tunachozungumzia hapa ni kujenga jumba kubwa sana huki ukiwa huna vyanzo vya uhakika vya kumudu jumba hilo , unaweza kujenga nyumba ya wastani ya kukidhi haja zako na ukaenjoy
Unapokuwa mzee huitaji jumba kubwa namna hiyo maana wakati huo watoto wako watakuwa kwenye nyumba zao wanajitegemea, na kwakuwa umestaafu itakuwa ngumu kwako kuihudumia maana huna nguvu tena ya kutafuta pesa
Ok mkuu.
 
Katika kitu sijawahi kujutia maishani ni kujenga mapema. Hii ni kwasababu kiasi cha pesa nilichopoteza kwenye biashara na miradi mbalimbali kinalingana au kuzidi thamani ya nyumba, meaning nisingejenga ungeweza kuta mpaka leo sijajenga na biashara ya maana sina!
 
Nadhani mkuu tukubaliane kabisa, gharama za finishing ni kubwa kuliko ujenzi wa boma na bati.
Hii nimeishudia kwa macho yangu, hasa kama unataka finishing ya viwango vya TBS. Fikiria kuweka "tiles" tu, sakafuni na vyooni, bafuni na jikoni si chini ya sh. milioni 5. Hapo bado sijasema habari za dari hisi za kisasa!
 
Katika mambo huwa yananishangaza na kunifikirisha sehemu mbalimbali za nchi hii ni uwepo wa majengo mengi ya nyumba za watu walionza kujenga kubaki bila kumaliziwa(mapagala) kwa muda mrefu sana na hatimaye kugeuka magofu.

Tatizo huwa ni nini?

Ni ujenzi wa kukurupuka?

Ujenzi bila kuwa na taarifa muhimu za kutosha? (Ile mtu anaambiwa ukipiga mahesabu sana hutajenga, we anza tu)

Kwa nini mtu anapoona amefikia mahali pumzi katika ujenzi imekata na hakuna dalili ya kuendelea muda mrefu ujao asiliuze tu jengo(pagala) lake na hiyo pesa akaitumia kujaribu kufanya mambo mengine?

Nachelea kusema sekta ya real estate Tanzania inaweza kuwa chanzo cha umasikini mkubwa kwa raia wengi wenye kipato cha kawaida waliojaribu kujiingiza katika hii sekta

Ni hasara kubwa sana kuwa na pagala lililogeuka gofu.
Kuezeka baba ni kipengele maana inabidi uezeke umalize huwezi ezeka robo robo
 
Nadhani hukunielewa point yangu na ya mleta mada ,hatukatai kujenga tunachozungumzia hapa ni kujenga jumba kubwa sana huki ukiwa huna vyanzo vya uhakika vya kumudu jumba hilo , unaweza kujenga nyumba ya wastani ya kukidhi haja zako na ukaenjoy
Unapokuwa mzee huitaji jumba kubwa namna hiyo maana wakati huo watoto wako watakuwa kwenye nyumba zao wanajitegemea, na kwakuwa umestaafu itakuwa ngumu kwako kuihudumia maana huna nguvu tena ya kutafuta pesa
Umenikumbusha story moja nimesikia hivi karibuni- Mstaafu mmoja alijenga jumba lake la ghorofa huko Mbezi beach. Kwa sasa watoto wake wote wanajitegemea. Wengine wapo nje ya nchi. Na mke wake kila mara kiguu na njia kwenda kutembelea wanawe huko nje ya nchi, na akifika huko anakaa muda mrefu. Huku nyumbani mzee imebidi aajiri wafanyakazi, kumsaidia kazi ya kulitunza hilo jumba- mazingira ya ndani na nje. Changamoto ya miguu imefanya ahame ghorofani, amerudi sakafu ya chini.
Ametoa ushauri kwamba: wale ambao mna mipango ya kujenga nyumba za kuishi sasa, jenga nyumba ya kawaida. Kama una uwezo zaidi jenga nyumba nyingine kubwa kwa ajili ya biashara/kupangisha.
 
Katika mambo huwa yananishangaza na kunifikirisha sehemu mbalimbali za nchi hii ni uwepo wa majengo mengi ya nyumba za watu walionza kujenga kubaki bila kumaliziwa(mapagala) kwa muda mrefu sana na hatimaye kugeuka magofu.

Tatizo huwa ni nini?

Ni ujenzi wa kukurupuka?

Ujenzi bila kuwa na taarifa muhimu za kutosha? (Ile mtu anaambiwa ukipiga mahesabu sana hutajenga, we anza tu)

Kwa nini mtu anapoona amefikia mahali pumzi katika ujenzi imekata na hakuna dalili ya kuendelea muda mrefu ujao asiliuze tu jengo(pagala) lake na hiyo pesa akaitumia kujaribu kufanya mambo mengine?

Nachelea kusema sekta ya real estate Tanzania inaweza kuwa chanzo cha umasikini mkubwa kwa raia wengi wenye kipato cha kawaida waliojaribu kujiingiza katika hii sekta

Ni hasara kubwa sana kuwa na pagala lililogeuka gofu.
Niliwahi kuwashuhudia watu wawili waliokuwa wanajitamba ila mpaka sasa mmoja nyumba aliezeka na kuweka grill na milango miaka miwili imepita anasubili astaafu huyo mwingine alikuwa na maneno mengi iliishia kwenye madilisha ameuza kwa bei ya hasara sana ujenzi bongo unatushinda kwa sababu atuna sapoti ya serikali kama mambo ya mortgage hivyo unayeona amemaliza nyumba ujue amepambana sana TU the maximum
 
Niliwahi kuwashuhudia watu wawili waliokuwa wanajitamba ila mpaka sasa mmoja nyumba aliezeka na kuweka grill na milango miaka miwili imepita anasubili astaafu huyo mwingine alikuwa na maneno mengi iliishia kwenye madilisha ameuza kwa bei ya hasara sana ujenzi bongo unatushinda kwa sababu atuna sapoti ya serikali kama mambo ya mortgage hivyo unayeona amemaliza nyumba ujue amepambana sana TU the maximum
Mkuu kipengele ni kuezeka na finishing. Yani ela inatafunwa kweli kweli. Milango, fremu, plumbering, wiring, skimming, tiles, masinki n.k ni kipengele.
Sasa mtu aliambiwa 20000000 itajenga nyumba ya vyumba vitatu akifika hapo amekopa ela imekata na nyumba haikuisha.
 
Mkuu kipengele ni kuezeka na finishing. Yani ela inatafunwa kweli kweli. Milango, fremu, plumbering, wiring, skimming, tiles, masinki n.k ni kipengele.
Sasa mtu aliambiwa 20000000 itajenga nyumba ya vyumba vitatu akifika hapo amekopa ela imekata na nyumba haikuisha.
Kiukweli ni changamoto hasa kwenye ujenzi Kuna ghalama ambazo azionekani ukianza tu nazo zinajitokeza
 
Waache hao wagonjwa wetu sisi weekend lazima twende kuwatembelea tuone kama majirani wameanza kutupa uchafu.
 
Katika mambo huwa yananishangaza na kunifikirisha sehemu mbalimbali za nchi hii ni uwepo wa majengo mengi ya nyumba za watu walionza kujenga kubaki bila kumaliziwa(mapagala) kwa muda mrefu sana na hatimaye kugeuka magofu.

Tatizo huwa ni nini?

Ni ujenzi wa kukurupuka?

Ujenzi bila kuwa na taarifa muhimu za kutosha? (Ile mtu anaambiwa ukipiga mahesabu sana hutajenga, we anza tu)

Kwa nini mtu anapoona amefikia mahali pumzi katika ujenzi imekata na hakuna dalili ya kuendelea muda mrefu ujao asiliuze tu jengo(pagala) lake na hiyo pesa akaitumia kujaribu kufanya mambo mengine?

Nachelea kusema sekta ya real estate Tanzania inaweza kuwa chanzo cha umasikini mkubwa kwa raia wengi wenye kipato cha kawaida waliojaribu kujiingiza katika hii sekta

Ni hasara kubwa sana kuwa na pagala lililogeuka gofu ..Tatizo watu wanajenga nyumba kuanzia Msingi Hilo ni Kosa kubwa Nyumba Anza kujenga kuanzai juu,Yaani Kwanza Anza kununua bati Kisha chonga grill za madirisha tengeneza Milango 2( mbele na nyuma).Sasa nunu tofali Anza ujenzi baada ya mwiki umepiga bati weka grill madirisha, Milango mbele na nyuma Ingia ukae kwenye nyumba yako mengine utamilizia taratibu.Hapo hakuna pagala utaliona.
 
Hakuna jipya chini ya Jua:Mbali na Majengo binafsi hata miradi ya serikali inachukua Muda Mrefu,Madaraja,reli,Barabara NK.Watz wanafanya Majenzi Kwa Pesa Taslimu,Riba za Benki zipo Juu na ngumu kuzipata.Wakenya ambao wanapata Mikopo Kwa Benki na Sacco's wanasifu Sana huu moyo wa WaTZ Kujenga Kwa mapato Yao Tofali 1 Kwa Wakati.Ni kweli inachukua Muda Mrefu,unaweza tamani Kuweka Pesa Kwa biashara lakini huko nako Pesa ikizama Kilio kinakuja hadi ndani.All in all haijalishi umetumia Miaka Kiasi gani Mhimu Umefikia Lengo.Kuwa na Makazi ni moja ya hitaji na ndoto ya binadamu.Balaa pekee ni Ukubwa wa Majumba ambao Unakuwa liability kubwa Kwa wamilki hasa umri ukisonga,na watoto washaondoka.
 
Hakuna jipya chini ya Jua:Mbali na Majengo binafsi hata miradi ya serikali inachukua Muda Mrefu,Madaraja,reli,Barabara NK.Watz wanafanya Majenzi Kwa Pesa Taslimu,Riba za Benki zipo Juu na ngumu kuzipata.Wakenya ambao wanapata Mikopo Kwa Benki na Sacco's wanasifu Sana huu moyo wa WaTZ Kujenga Kwa mapato Yao Tofali 1 Kwa Wakati.Ni kweli inachukua Muda Mrefu,unaweza tamani Kuweka Pesa Kwa biashara lakini huko nako Pesa ikizama Kilio kinakuja hadi ndani.All in all haijalishi umetumia Miaka Kiasi gani Mhimu Umefikia Lengo.Kuwa na Makazi ni moja ya hitaji na ndoto ya binadamu.Balaa pekee ni Ukubwa wa Majumba ambao Unakuwa liability kubwa Kwa wamilki hasa umri ukisonga,na watoto washaondoka.
Mkuu umetuwakilisha vema wenye magofu
 
Back
Top Bottom