Nini chanzo cha ongezeko la tuhuma za ndugu kurogana na kukwamishana?

Nini chanzo cha ongezeko la tuhuma za ndugu kurogana na kukwamishana?

Uchawi ni nini?

Unahakikishaje huo unaofikiri ni uchawi, ni uchawi kweli, na si kitu kingine usichokielewa tu?
Uchawi ni matumizi ya nguvu za ziada zilizonje ya ubinadamu kusababishia wanadamu wenzako mabaya, kuwaumiza, kwamisha kuwarudisha nyumq hata ikibidi kuwaua au kuwadhuru kabisa.

Mambo haya yamekuwepo katika kila jamii ya mwanadamu katika vipindi vyote vya uwepo wake.
Mfano Ulaya. Zamqnj za walatini walitumia neno la kisheria Maleficium
Kuwashughulikia kisheria waliojiingiza katika ushirikina. Wengi walikuwa ni wanawake wakiroga ndugu na majirani.
Ni mambo ya imani yanayopimwa kwa matokeo zaidi yaanq yanahusisha nguvu nje ya ubinadamu
 
Uchawi ni matumizi ya nguvu za ziada zilizonje ya ubinadamu kusababishia wanadamu wenzako mabaya, kuwaumiza, kwamisha kuwarudisha nyumq hata ikibidi kuwaua au kuwadhuru kabisa.

Mambo haya yamekuwepo katika kila jamii ya mwanadamu katika vipindi vyote vya uwepo wake.
Mfano Ulaya. Zamqnj za walatini walitumia neno la kisheria Maleficium
Kuwashughulikia kisheria waliojiingiza katika ushirikina. Wengi walikuwa ni wanawake wakiroga ndugu na majirani.
Ni mambo ya imani yanayopimwa kwa matokeo zaidi yaanq yanahusisha nguvu nje ya ubinadamu
Nguvu za ziada zilizo nje ya ubinadamu maana yake nini?

Nikimpiga mtu risasi ili kumsababishia mabaya, hapo nimesababisha mabaya kwa uchawi?

Bunduki na risasi zinatumia nguvu za ziada zilizo nje ya ubinadamu.
 
Nguvu za ziada zilizo nje ya ubinadamu maana yake nini?

Nikimpiga mtu risasi ili kumsababishia mabaya, hapo nimesababisha mabaya kwa uchawi?

Bunduki na risasi zinatumia nguvu za ziada zilizo nje ya ubinadamu.
Ndugu, manuizi ya kichawi yanaathiri zaidi fikra. Bunduki inaathiri mwili.
Ukiweza kuzishinda fikra za kichawi, utafanikiwa.
Ila, uchawi upo. Watu wanaloga hadi visima visitoe maji.
 
Sababu nyingine, watu wengi kwa kujua au kutojua wamerithishwa mikoba ya wazee. Sasa wale wazee wanamaelekezo pia wanataka kurithisha mindset zao kwa vitukuu japo wamekufa. Kama wao waliona umasikini na hali nguvu ndio ufahari huyo mwenye mikoba atasimamia hilo kwa hali na mali. Atakuwa agent wa kukwamisha kila anayefurukuta ili awafurahishe wazee na mizimu.

Mnyororo wa mduara wa umasikini wa familia haukatwi kwa msumeno wa mbao. Inahitajika mikakati mikali sana.
HICHO KITU MNAITA MIZIMU mkidai ni roho marehemu ni majini yanajigeuza kwa sura za marehemu
jiepushe nazo
 
Ndugu, manuizi ya kichawi yanaathiri zaidi fikra. Bunduki inaathiri mwili.
Ukiweza kuzishinda fikra za kichawi, utafanikiwa.
Ila, uchawi upo. Watu wanaloga hadi visima visitoe maji.
Kwanza kabisa, sijakuuliza wewe. Nimemuuliza aliyenijibu hapo awali kwamba uchawi ni matumizi ya nguvu za ziada zilizo nje ya ubinadamu.

Sasa, ukija wewe kujichomeka katika majibizano, wakati wewe si uliyenijibu hivyo awali, unaondoa mtiririko wa majibizano.
 
Uchawi upo. Jambo la ajabu kwa sasa nimepata kesi zaidi ya tano ndugu kurogana.

Yaani kuna moja mama hataki kuona vijana wa kike na wa kiume wa wanatoboa.

Ndugu wanafichana mambo na kila mmoja anamuangalia mwenzake kama kihatarishi. Dada mmoja ameniambia Alfajiri anaona anakabwa na Mama yake mdogo, huku akimwambia lazima tukukwamishe tu utake usitake.

Mwingine mtu mzima hata kwenye msiba aliingia kimafia kwa hofu ndugu zake wamemuwekea mtego kwenye vyakula vya msibani wamuue. Yeye ndiye amesaomesha na kusomeshea watoto wao.

Kuna mmoja aliona kwenye ndoto ndugu anamletea zawadi ya chakula, hakumkuta akampa mwingine huyo aliyekila alikutwa amekufa kimazingara makaburini siku kadhaa. Hicho alichokiona kikatokea hivyohivyo.

Mwingine alitafuta mtoto wa ndugu yake anapofanyia kazi, akalazimisha kumpa pesa ya noti 10K, kumbe ile pesa ilikuwa imefanyiwa namna ili jamaa afukuzwe na kufirisika. Mama mwenye nyumba wa huyo jamaa usiku akaona tukio lote ndotoni. Asubuhi akaja kumuhadithia kila kitu wakati hakuwepo na hamjui huyo aliyetoa ile pesa. Akamwambia umewakosea nini ndugu zako mbona wanakutafuta sana. Jamaa akawa analia tu kwa uchungu.

Maisha ni vita vya kiroho. Muamini Mungu, usiamini ndugu, marafiki na watu wanaosema ni wa karibu kwako. Wengine wamwkusogelea ili wakujue vizuri wakikushambulia wafumue hadi mizizi.

Tumia Muda mwingi kwenye sala, kazi, na familia yako, ndugu chagua wale mnaoendana wengine wapende sio lazima wakujue sana.

Ni hayo tu

Mtumishi
Matunduizi.
Afya ya akili
 
Ndugu, manuizi ya kichawi yanaathiri zaidi fikra. Bunduki inaathiri mwili.
Ukiweza kuzishinda fikra za kichawi, utafanikiwa.
Ila, uchawi upo. Watu wanaloga hadi visima visitoe maji.
Uchawi ni nini?

Unahakikisha vipi kisima hakitoi maji kwa sababu ya uchawi na si kwa sababu nyingine yoyote?
 
Hakuna logic ni uongo , ndugu yako haweza kukuroga ni mbinu wanatumia waganga wa hovyo kuwagombanisha .Watu , ndugu wanapata furaha wakisikia ndugu zao wanapiga maendeleo hata watu wa jamii yao .

Leo unasema eti wanarogana , ndugu yako sio adui yako .
 
Uchawi upo. Jambo la ajabu kwa sasa nimepata kesi zaidi ya tano ndugu kurogana.

Yaani kuna moja mama hataki kuona vijana wa kike na wa kiume wa wanatoboa.

Ndugu wanafichana mambo na kila mmoja anamuangalia mwenzake kama kihatarishi. Dada mmoja ameniambia Alfajiri anaona anakabwa na Mama yake mdogo, huku akimwambia lazima tukukwamishe tu utake usitake.

Mwingine mtu mzima hata kwenye msiba aliingia kimafia kwa hofu ndugu zake wamemuwekea mtego kwenye vyakula vya msibani wamuue. Yeye ndiye amesaomesha na kusomeshea watoto wao.

Kuna mmoja aliona kwenye ndoto ndugu anamletea zawadi ya chakula, hakumkuta akampa mwingine huyo aliyekila alikutwa amekufa kimazingara makaburini siku kadhaa. Hicho alichokiona kikatokea hivyohivyo.

Mwingine alitafuta mtoto wa ndugu yake anapofanyia kazi, akalazimisha kumpa pesa ya noti 10K, kumbe ile pesa ilikuwa imefanyiwa namna ili jamaa afukuzwe na kufirisika. Mama mwenye nyumba wa huyo jamaa usiku akaona tukio lote ndotoni. Asubuhi akaja kumuhadithia kila kitu wakati hakuwepo na hamjui huyo aliyetoa ile pesa. Akamwambia umewakosea nini ndugu zako mbona wanakutafuta sana. Jamaa akawa analia tu kwa uchungu.

Maisha ni vita vya kiroho. Muamini Mungu, usiamini ndugu, marafiki na watu wanaosema ni wa karibu kwako. Wengine wamwkusogelea ili wakujue vizuri wakikushambulia wafumue hadi mizizi.

Tumia Muda mwingi kwenye sala, kazi, na familia yako, ndugu chagua wale mnaoendana wengine wapende sio lazima wakujue sana.

Ni hayo tu

Mtumishi
Matunduizi.
Chanzo ni kuwasikiliza sana hawa manabii uchwara wanaotuambia eti uchawi na ushirikina wa mababu zetu walioturishisha! Na sisi kwa ujinga wetu tunawaamini.
 
Uchawi upo. Jambo la ajabu kwa sasa nimepata kesi zaidi ya tano ndugu kurogana.

Yaani kuna moja mama hataki kuona vijana wa kike na wa kiume wa wanatoboa.

Ndugu wanafichana mambo na kila mmoja anamuangalia mwenzake kama kihatarishi. Dada mmoja ameniambia Alfajiri anaona anakabwa na Mama yake mdogo, huku akimwambia lazima tukukwamishe tu utake usitake.

Mwingine mtu mzima hata kwenye msiba aliingia kimafia kwa hofu ndugu zake wamemuwekea mtego kwenye vyakula vya msibani wamuue. Yeye ndiye amesaomesha na kusomeshea watoto wao.

Kuna mmoja aliona kwenye ndoto ndugu anamletea zawadi ya chakula, hakumkuta akampa mwingine huyo aliyekila alikutwa amekufa kimazingara makaburini siku kadhaa. Hicho alichokiona kikatokea hivyohivyo.

Mwingine alitafuta mtoto wa ndugu yake anapofanyia kazi, akalazimisha kumpa pesa ya noti 10K, kumbe ile pesa ilikuwa imefanyiwa namna ili jamaa afukuzwe na kufirisika. Mama mwenye nyumba wa huyo jamaa usiku akaona tukio lote ndotoni. Asubuhi akaja kumuhadithia kila kitu wakati hakuwepo na hamjui huyo aliyetoa ile pesa. Akamwambia umewakosea nini ndugu zako mbona wanakutafuta sana. Jamaa akawa analia tu kwa uchungu.

Maisha ni vita vya kiroho. Muamini Mungu, usiamini ndugu, marafiki na watu wanaosema ni wa karibu kwako. Wengine wamwkusogelea ili wakujue vizuri wakikushambulia wafumue hadi mizizi.

Tumia Muda mwingi kwenye sala, kazi, na familia yako, ndugu chagua wale mnaoendana wengine wapende sio lazima wakujue sana.

Ni hayo tu

Mtumishi
Matunduizi.

Mkuu uliwahi kusikia mtu karogwa ulaya au Marekani kaskazini huko?

Kama kuroga kupo, kulikoni tusiwaroge japo watekaji wetu?
 
Uchawi haupo wacha kupoteza muda wako...Fanya kazi...kushindwa kwako kimaisha usitafute kichaka cha uchawi kujifichia humo...tatua changamoto zako....tumia akili .

Uchawi haupo, haujawai kuwepo na hautokaa kuwepo
Imani potofu hii.
 
Mkuu uliwahi kusikia mtu karogwa ulaya au Marekani kaskazini huko?

Kama kuroga kupo, kulikoni tusiwaroge japo watekaji wetu?
Kwa Mujibu wa Pew Research Center dini inayokua kwa kasi Marekani ni dini ya wachawi WICCA.
 
Ukiona Ukoo/Familia Ina Umasikini ndani yake, na Waliotoboa wanahesabika Tena wametoboa Kwa mbinde, na inawabidi kama Wajitenge hivi na Familia ili wa survive... MEANS KUNA UCHAWI KWENYE FAMILIA....!
I kweli
 
masikini wana fikra za ajabu sana yaani imagine watu wanaroga hadi mbwa mahindi siji maua etc IMAGINE.
 
Mojawapo ya malengo ya milenia, Millennium Development Goals( MDG)

Kutokomeza umasikini uliokithiri kwa kipare to eradicate extremely poverty.

Matokeo ya MDGs yanaonyesha umasikini au poverty ni mtambuka sana kuanzia mentality, utamaduni, Mila, Imani, desturi, itikadi n.k.

Uchawi na ushirikina umetawala fikra na mawazo ya jamii masikini.
Ni kweli wazungu wanafanya kama hobby au burudani tu. Umasikini unaqnzia kwenye qkili. Kama jamii yote ikiamini imerogwa, au jamii ikaamini hakuna mtu kutoboa lazima abrokiwe hata kwa majini hapo lazima nchi ibaki shamba la bibi la wachina na wazungu.

Hayo yatafikiwa viongozi wa kisiasa na kidini wakiacha kwenda kwa waganga.
 
Back
Top Bottom