Nini chanzo cha ongezeko la wanawake wanaotoboa pua na kuvaa vipini?

Ukishaona mwanamke ana hivi vitu, basi jaribu kukwepa, na wala usitamani kuja kuoa.
1. Tatoo.
2. Kutoboa pua.
3. Kutoboa masikio matundu mengi.
4. Kikuku.

Usiniulize kwa nini, huwa ipo hivyo tu, na jamii hutambua hivyo.

Kwa uchunguzi wangu binafsi, niligundua wengi wa hao wanawake huwa na mojawapo ya hizi tabia ama waliwahi kuwa na mojawapo ya hizi tabia hapa chini;
  • Ngono holela ni sehemu ya maisha yao ya kila siku.
  • Wameshapigwa miti sana na watu tofauti tofauti ikiwemo wahuni.
  • Ni rahisi kutongozwa na kukubali.
  • Hawawezi kutosheka kimapenzi (wana wapenzi wengi, kila mitindo ya kingono huwa wameipitia au wanatamani kuipitia)
  • Wana tabia nyingi za kihuni ambazo hazikubaliki kijamii hususani kwa mwanamke.
 
Kumekuwepo na ongezeko la Idadi kubwa ya wanawake wanaotoboa pua zao na kuziwekea vipini.

Nani aliwadanganya wanapendeza kuvaa hereni puani?
Vinakera sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…