🤣🤣🤣mweehWanafanana na wale ng’ombe wa wahindi.
😀😀unataka kusemajeUrembo tu.
Binafsi, mwanamke wa namna hiyo hanivutii kabisa na sio ladha zangu ila nadhani wanafanya hivyo ili kuvutia watu au wao wenyewe😀😀unataka kusemaje
Vinakera sanaKumekuwepo na ongezeko la Idadi kubwa ya wanawake wanaotoboa pua zao na kuziwekea vipini.
Nani aliwadanganya wanapendeza kuvaa hereni puani?