Nini chanzo cha ongezeko la wanawake wanaotoboa pua na kuvaa vipini?

Nini chanzo cha ongezeko la wanawake wanaotoboa pua na kuvaa vipini?

kwenye kila sikio matobo mawili,puani + vikukuku.
Mkuu bado kuna haja ya kuuliza hili swali?

hao ni kitendo cha kutazamana usoni tuu mnazama guest kumalizana.
Asikwambie mtu ni urembo! Never..nina prove ya hao watu!
 
Kumekuwepo na ongezeko la Idadi kubwa ya wanawake wanaotoboa pua zao na kuziwekea vipini.

Nani aliwadanganya wanapendeza kuvaa hereni puani?
Huo ni urembo tu mkuu,,

Hata wanaovaa shanga kiunoni kuna wanaume pia hawapendi.
 
Back
Top Bottom