Quetzal
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 6,343
- 10,799
Namimi nlikua nataka kutoboa...nikapigwq Vita SanaUrembo tu..Mimi mwenyewe Nina mpango wa kutoboa pua siku kadhaa zijazo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namimi nlikua nataka kutoboa...nikapigwq Vita SanaUrembo tu..Mimi mwenyewe Nina mpango wa kutoboa pua siku kadhaa zijazo.
Mama ameongea sanaaaa...Ndugu zangu wameongea Sanaa...nlitaka niongeze na tundu kwa sikio..ninayo mawili.kila sikio...
aliye toboa pua jua ametoboa na ki-si-iiimi, hereni inasaidia kukuna muwasho.Kumekuwepo na ongezeko la Idadi kubwa ya wanawake wanaotoboa pua zao na kuziwekea vipini.
Nani aliwadanganya wanapendeza kuvaa hereni puani?
Ni urembo lakini wadada wengi tunaowanunua wametoboa pua...Mama ameongea sanaaaa...Ndugu zangu wameongea Sanaa...nlitaka niongeze na tundu kwa sikio..ninayo mawili.kila sikio...
Wakasema ushangingi...Sijui ukahaba...
Lakini Mimi naona Ni urembo TU...
So kwavita vile nikaona niache tu
Mimi...nlikua sehemu nikaona wadada wawili wamependeza sanaaaa...Walikua watoboa pua...yaaani I was impressed..Ni urembo lakini wadada wengi tunaowanunua wametoboa pua...
Mimi nishahidi... Sijawahi kukutana na ambaye hajatoboa pua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi...Mimi...nlikua sehemu nikaona wadada wawili wamependeza sanaaaa...Walikua watoboa pua...yaaani I was impressed..
Ndo nikataka na Mimi nitoboe...Guess nimepata jibu tayari
Kama appearance, posture yaani formality yako inaendana na kama uliyemuweka kwa Avatar yako toboa pua you will be the one ukifuatisha midomo ya mibongo dunia haiendi.Namimi nlikua nataka kutoboa...nikapigwq Vita Sana
Hospital....walikuwepo wadada wawili...kwakweli nilipenda coz walipendeza...
Mimi..si mwembamba kabisaaaa Mkuu nakilo zakitosha ..75 ..ila hiyo Sio sababu ya Mimi kutokuwa mrembo..Kama appearance, posture yaani formality yako inaendana na kama uliyemuweka kwa Avatar yako toboa pua you will be the one ukifuatisha midomo ya mibongo dunia haiendi.
Nampenda sana mwanamke awe mwembamba awake kipini.
Hivi mwanamke awe mwembamba, avae nguo loose nyepesi kama kijora, nywele kafumua alafu ana kipini uwe nae room unasahau kama kuna ugumu wa maisha.
Daah whyMimi..si mwembamba kabisaaaa Mkuu nakilo zakitosha ..75 ..ila hiyo Sio sababu ya Mimi kutokuwa mrembo..
Why nakilo 75...napenda kula[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Daah why
Tena hapa nimepima Sasa hivi 75.5Daah why
Wengine urembo tu, wanapenda kama ilivyo kutoga masikio. Anajisikia raha lakini wala hata hana tabia mbaya.
Khaaaaaaah cc uko seriouz?Urembo tu..Mimi mwenyewe Nina mpango wa kutoboa pua siku kadhaa zijazo.
Serious mdogo wangu😂Khaaaaaaah cc uko seriouz?
Tatizo Ni Nini?Mtu katoboa sikio moja mara 3