[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaahHua ni Sahara kua na Tobo la nyuma limetobolewa....kwahiyo ujue mapema naee pendaaMatobooo ...me kwa uzooefu wangu mademu wote waliotoboa pua 90%wanaenda kwa Mpalange.....me hua xilembi nyambafuuuuuu
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Naamini sio Bongo hii labda nje huko, tena South Africa,Niliwahi kuwa na mwanafunzi mmoja wa kiume aliyekuwa ametoboa pua na masikio na kuwepa vipini, halafu mikono ilikuwa imejaa tatoo kila sehemu; nilikuwa na negative attitude kuhusu tabia zake. Lakini baadaye nikabadilka kwani darasani kuwa anapaua sana hadi akawa best student kwenye somo langu. Kuna mambo ambayo watu wanafanya yasioyopendeza mbele ya jamii lakini siyo kuwa watu hao ni wajinga au wana tabia mbaya.
Ni Amerika! Jamaa yule aliunganisha na Masters amemaliza mwezi Decemba mwaka jana.Naamini sio Bongo hii labda nje huko, tena South Africa,
Maan ingekua Bongo wallah angefelishwa kusud, na kutengenezewa zengwe la DISCO. km sio kufukuzwa kabisa.
Mwanamke natural ni mrembo zaidi.Hospital....walikuwepo wadada wawili...kwakweli nilipenda coz walipendeza...
Binafsi nlitoboa masikio mashimo.matano kila sikio...ila matatu ndo yaliziba..
Unajuwa Wanawake tunapenda urembo Sana Sana Sana...hata hao wadada wanaoouuza nao wanapenda kuonekana viZuri kwa Ajili ya market..
But kusema Kwamba urembo Fulani ninkwa ajili ya watu Fulani tu...just because hao wameuvaa Sio POA..
Mfano, kutoboa pua..kunawatotoo wanatobolewa since wadogo...kuvaa vikuku...nao umekuwa ukahaba...kuvaa shanga...ukahaba...Kutoboa masikio ukahaba...kupaka mamekap...Napo shida..
Mwanamke Ni pambo na Ni viZuri akapendeza....SASA KWANINI mapambo yawe Ni kwa Ajili ya watu Fulani wengine wakivaa inakuwa shida....
Kweli Mimi navaa hijabu...nikitoboa masikio mashimo kumi....Wala lengo langu SI kuonekana kwa watu..mimi TU napenda...huo ukahaba unatoka wapi?
Comment hiiHospital....walikuwepo wadada wawili...kwakweli nilipenda coz walipendeza...
Binafsi nlitoboa masikio mashimo.matano kila sikio...ila matatu ndo yaliziba..
Unajuwa Wanawake tunapenda urembo Sana Sana Sana...hata hao wadada wanaoouuza nao wanapenda kuonekana viZuri kwa Ajili ya market..
But kusema Kwamba urembo Fulani ninkwa ajili ya watu Fulani tu...just because hao wameuvaa Sio POA..
Mfano, kutoboa pua..kunawatotoo wanatobolewa since wadogo...kuvaa vikuku...nao umekuwa ukahaba...kuvaa shanga...ukahaba...Kutoboa masikio ukahaba...kupaka mamekap...Napo shida..
Mwanamke Ni pambo na Ni viZuri akapendeza....SASA KWANINI mapambo yawe Ni kwa Ajili ya watu Fulani wengine wakivaa inakuwa shida....
Kweli Mimi navaa hijabu...nikitoboa masikio mashimo kumi....Wala lengo langu SI kuonekana kwa watu..mimi TU napenda...huo ukahaba unatoka wapi?
Utuache na utamaduni wetu, nyinyi wakuja ndio kigeni kwenuWadigo wanasemaje kwani kuhusu jambo hili?