Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAHHAHHA jamani mmenichekesha sana eti GOBORE,, hata mimi nilikua navyo hivo vinyama juu kidogo ya mashavu yani chini kidogo ya macho hii inatokana na kuwa too soft, bila shaka usoni upo soft sana, mimi nimlaini sana uso wangu unatereza kabisa nikaambiwaga nijisugue na apricot. nilishauriwa na daktari wa ngozi. nikawa napaka apricot naanza kujisugua utaona vinanyofoka kabisa vinatoka, inamaumivu makali kwa kuwa ngozi yangu ni laini sana. lakini huwezi amini viliisha vyote na havikurudi tena, jaribu kufanya hivo na usivivute utavimba uso..
HAHHAHHA jamani mmenichekesha sana eti GOBORE,, hata mimi nilikua navyo hivo vinyama juu kidogo ya mashavu yani chini kidogo ya macho hii inatokana na kuwa too soft, bila shaka usoni upo soft sana, mimi nimlaini sana uso wangu unatereza kabisa nikaambiwaga nijisugue na apricot. nilishauriwa na daktari wa ngozi. nikawa napaka apricot naanza kujisugua utaona vinanyofoka kabisa vinatoka, inamaumivu makali kwa kuwa ngozi yangu ni laini sana. lakini huwezi amini viliisha vyote na havikurudi tena, jaribu kufanya hivo na usivivute utavimba uso..
Inaweza ikawa ni allergy au mchafuko wa damu mwln chamcng fanya vipimo dawa zipo kabla hatujakuuzia kwanza tutakuelekeza uingie vp kwenye mtandao na uzisome kwanza znafabyaje kaz mwln 0714.912.390