hebu akapime kwanza labda anaumwa..
pia asitumie chakula chenye mafuta mafuta..
lakini kwa dharula tu anaweza kutumia dawa inaitwa FENEGAN, ameze kidonge kimoja tu kwa siku, lakini asizoee aende na hospitali kujua tatizo ni nini.
Asante sana ndg mungu akubariki
Jamani na mimi mama yangu akila chakula sanasana kikiwa kigumu anatapika, hospital nyingi wanasema hana tatizo na yeye hasikii maumivu popote, hali ya kutapika imepungua kaanza kuharisha ni mtu mzima kiumri