Mgodo visa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 3,590
- 3,632
Kama kichwa/Mada inavyo jieleza hapo juu..
Yuko ndugu (dada) yangu anasumbuliwa na tatizo la Tumbo pamoja na Miguu kuvimba, kwa zaidi ya miaka mitatu sasa (hii ilikuwa ni baada ya kujifungua)
Tumejaribu kwenda ama kutumia tiba mbalimbali (za kienyeji na kisasa) ila bila mafanikio.
Naomba kupitia JF Docter, yule anaeweza kutambua tiba ya matatizo haya, anifahamishe.
Tumekwenda hospitali mbalimbali ikiwemo Muhimbili, kila wanapo fanya uchunguzi, vipimo havioneshi tatizo.
Natanguliza shukrani kwanza kwa wote..
Yuko ndugu (dada) yangu anasumbuliwa na tatizo la Tumbo pamoja na Miguu kuvimba, kwa zaidi ya miaka mitatu sasa (hii ilikuwa ni baada ya kujifungua)
Tumejaribu kwenda ama kutumia tiba mbalimbali (za kienyeji na kisasa) ila bila mafanikio.
Naomba kupitia JF Docter, yule anaeweza kutambua tiba ya matatizo haya, anifahamishe.
Tumekwenda hospitali mbalimbali ikiwemo Muhimbili, kila wanapo fanya uchunguzi, vipimo havioneshi tatizo.
Natanguliza shukrani kwanza kwa wote..