blessed lenny
Member
- Feb 5, 2013
- 38
- 8
tafathali sana naombeni msaada wenu, mimi huwa sina hamu ya kula na mara nyingi huwa nasikia tumbo limejaa, asubuhi nasikia uchovu sana na tumbo linakuwa linauma ila nikiamka tu linatulia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
habari zenu wana jukwaa, ni imani yangu kwamba mu wazima wa afya!
mwenzenu nimekumbwa na tatizo la muda mrefu sana toka mwaka 2004 nikiwa darasa la sita, nimekuwa nakosa hamu ya chakula kabisa, ama hata pale ninapokula, basi nakula kidogo saaana na endapo nikijilazimisha kula, huwa najisikia kutapika!
ndugu zangu, tatizo hili limenisumbua sana, nimezunguka baadhi ya hospitali hapa jijini na nimepewa ushauri na tiba za kitaalamu, lakini naona mambo ni yale yale tu hamna mabadiliko! yani kula kwangu imekuwa nafikia kipindi naweza kaa kuanzia asubuhi mpaka hata jioni ndio nakumbuka kula, tena napo kidogo tu!
naombeni ushauri wenu ndugu zangu na tiba mbadala ili nisije zidisha tatizo!
kama upo mjin hiyo ni faida but kama upo kijijin hiyo ni hasara!