ndolelejiUduhe
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,837
- 3,027
Yule Kihongosi anaonyesha sura ya kikatili sana !Hayo majamaa ya sisiemu inamaana hayajaongea kitu au yalikacha kuhudhuria kwa maelekezo kutoka juu maana hamjaweka updates yamechangia kitu gani?🤣
Nahisi alikuwa anavikumbuka vile viboko vyake alivyokuwa akiwapiga watu wazima huko Arusha. 😳ðŸ¤
Mambo yamebadilika kidogo 😅ðŸ¤