Ibada ya kwanza
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 3,282
- 1,810
Wadau nini dawa ya kumaliza hili tatizo.nimetumia magnesium na baadhi ya dawa lkn bado.watalam naombeni nini dawa na ushauri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chemsha maji ya moto kwenye kikombe kimoja kisha tia kijiko 1 cha Tangawizi mbichi uliyo saga vizuri, koroga vizuri acha kwa dakika moja ipite kunywa asubuhi mchana na usiku kila siku utapona hicho kiungulia chako.Wadau nini dawa ya kumaliza hili tatizo.nimetumia magnesium na baadhi ya dawa lkn bado.watalam naombeni nini dawa na ushauri
tatizo la Kiungulia linasababishwa na kuchelewa kula au kula Sana vyakula vya acid nyingi Kama nyama.soda nkWadau nini dawa ya kumaliza hili tatizo.nimetumia magnesium na baadhi ya dawa lkn bado.watalam naombeni nini dawa na ushauri
Wadau nini dawa ya kumaliza hili tatizo.nimetumia magnesium na baadhi ya dawa lkn bado.watalam naombeni nini dawa na ushauri