Shareef Conscious
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 522
- 343
Salama jamani?
Kuna ndugu yangu ana tatizo la kutokwa damu puani na hali hii huambatana na maumivu ya kichwa. Hivyo naomba kama kuna yeyote anayefahamu dawa ya hali hii asisite kunijuza/kutujuza hapa(Na kwa faida ya wengine pia)
Iwe ni dawa ya kienyeji ama ya hospitali tutashukuru
Akhsanteni
Kuna ndugu yangu ana tatizo la kutokwa damu puani na hali hii huambatana na maumivu ya kichwa. Hivyo naomba kama kuna yeyote anayefahamu dawa ya hali hii asisite kunijuza/kutujuza hapa(Na kwa faida ya wengine pia)
Iwe ni dawa ya kienyeji ama ya hospitali tutashukuru
Akhsanteni