Nini faida na hasara za gari aina ya Toyota Premio kwa engine za D4?

Nini faida na hasara za gari aina ya Toyota Premio kwa engine za D4?

Kama ni ya kutembelea tu mjin sio safar ndefu chukua ya 1.5L kama ni safari safar ndefu atleast yenye 1.8L japo 2.0L inakula mafuta vizur kuliko hiyo ya 1.8L sema ni D4 ...na sijajua suala la mafundi maeneo ulipo

Ndo uzuri wa D4 uko hapa. Ni efficient machine ila inataka service kwa wakati na mafuta masafi, unleaded au premium kama ni petrol na hata kama ni Diesel yawe mafuta safi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua kiuhalisia mpaka ikifika kipindi injini ya gari inahitaji kuchokonolewa na fundi basi ni wazi kiwa gari yako imeshachoka. Ukinunua gari mwenyewe toka Japan na ukawa unaitunza vizuri kwa service za uhakika na kwa wakati, basi huna haja ya kuhofia hiyo D4, hautahitaji fundi wa kuigusa.
Kweli lakini nadhani unapaswa kuelewa vizuri mfumo wa d4 na complications zake. Hata uwe na service ya aina gani lazima gari ichokonolewe mara kwa mara, haikwepeki
 
Mafuta safi kivip,hebu fafanua mkuu

Mimi sio mtaalamu ila kwa lugha rahisi ni kwamba mafuta ya petrol ambayo ni premium yana kiwango kikubwa cha octane ambayo husaidia engine kuwa safi. Zinakuwa zimeongezwa vitu vya kuifanya engine ibaki safi wakati inachoma mafuta. Vituo kama Puma na Total wanakuwa na unleaded fuel ambayo ni nzuri. Alternatively unaweza kuwa unatembea na zile additives ukiongeza mafuta hasa vituo ambavyo sio maarufu sana kwa mafuta kama haya unaweka. High performance na efficient engines kama D4 zinahitaji mafuta ya hivi na service ya oil kama full synthetic ili zisisumbue. Faida zake ni kwamba unapata engine efficient yenye nguvu na inatumia mafuta kiasi kidogo ukilinganisha na engine ya ukubwa kama wake isiyo D4.
Wataalam zaidi wataongeza au kufafanua zaidi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sio mtaalamu ila kwa lugha rahisi ni kwamba mafuta ya petrol ambayo ni premium yana kiwango kikubwa cha octane ambayo husaidia engine kuwa safi. Zinakuwa zimeongezwa vitu vya kuifanya engine ibaki safi wakati inachoma mafuta. Vituo kama Puma na Total wanakuwa na unleaded fuel ambayo ni nzuri. Alternatively unaweza kuwa unatembea na zile additives ukiongeza mafuta hasa vituo ambavyo sio maarufu sana kwa mafuta kama haya unaweka. High performance na efficient engines kama D4 zinahitaji mafuta ya hivi na service ya oil kama full synthetic ili zisisumbue. Faida zake ni kwamba unapata engine efficient yenye nguvu na inatumia mafuta kiasi kidogo ukilinganisha na engine ya ukubwa kama wake isiyo D4.
Wataalam zaidi wataongeza au kufafanua zaidi


Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea fact, D-4 haitaki mafuta na lubes za kuunga unga!

Inataka maintainance ya kikweli kwelii. Maintainance ya vitu OG!
 
Inaonekana aina ya gari lako na langu(Toyota progress) inakula mafuta hivyohivyo ila me ni ya 2000
Mimi binafs nakushaur mchukulie yenye engine 1nz ambayo ni cc 1490 kama sikosei,,kimuonekeno hazina utofauti saana kama sio mdadisi ila kama n mdadis atagundua kwenye taa za nyuma.

Hiyo gari ni nzuri sana na ulaji wake wa mafuta n mzuri mno! Mimi ninayo mwaka wa 3 saizi japo ni ya 2005 napeta nayo kwa raha! Mfano kutoka Dar had Mbeya Tukuyu natumia mafuta yasiyozid 150k. Niko tayari kukosolewa

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sio mtaalamu ila kwa lugha rahisi ni kwamba mafuta ya petrol ambayo ni premium yana kiwango kikubwa cha octane ambayo husaidia engine kuwa safi. Zinakuwa zimeongezwa vitu vya kuifanya engine ibaki safi wakati inachoma mafuta. Vituo kama Puma na Total wanakuwa na unleaded fuel ambayo ni nzuri. Alternatively unaweza kuwa unatembea na zile additives ukiongeza mafuta hasa vituo ambavyo sio maarufu sana kwa mafuta kama haya unaweka. High performance na efficient engines kama D4 zinahitaji mafuta ya hivi na service ya oil kama full synthetic ili zisisumbue. Faida zake ni kwamba unapata engine efficient yenye nguvu na inatumia mafuta kiasi kidogo ukilinganisha na engine ya ukubwa kama wake isiyo D4.
Wataalam zaidi wataongeza au kufafanua zaidi


Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja sn kaka tunashukuru kwa elimu hii
 
D-4 sehemu ya wamiliki wazikosea kutembelea huku taa inawaka ya mafuta au mafuta kuisha kabisa ila kama taa haita waka waka uta dumu nayo

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa
Kikubwa kinachosababisha matatizo ya mfumo wa D4 ni matatizo kwenye valve. Hii inatokana na mafuta kuingia moja kwa moja kwenye combustion chemba kisha kuchanganywa na hewa yakiwa humo humo. Matokeo yake ule mchanganyiko hautimii vizuri

Baada ya mafuta kuchomwa baadhi ya uchafu uliotokana na mchanganyiko dhaifu wa mafuta na hewa au mafut a machafu huelekea kwenye valve ambazo tofauri mfumo wa port injection, hizi haziloanishwi na mafuta tena hivyo kugandamiana. Matokeo yake valve zinajaa carbon ngumu sana ambayo ni ngum kusafishika
Hii inapelekea injini nyingi zenye D4 zikifika kuanzia km 100,000+ kusimbua sana

Ndo maana wenyewe wamekuja na mfumo mpya wa D4S kuondoa hili tatizo, ambao unakombaini direct injection na port injection walau kuzuia kuvhaguka hizi valve
 
Kama ni ya kutembelea tu mjin sio safar ndefu chukua ya 1.5L kama ni safari safar ndefu atleast yenye 1.8L japo 2.0L inakula mafuta vizur kuliko hiyo ya 1.8L sema ni D4 ...na sijajua suala la mafundi maeneo ulipo
Enbu nieleweshe hizo 1.5L zinamaana gan??
 
Mnunulie Premio yenye cc 1490 hutajuta ina engine ya IST
 
2020 nilifanya maamuzi ya kuchukua premio 1980cc ya mwaka 2009 ulaji wake upo vizuri sana japo ni engine kubwa na sijajutia hadi sasa
 
Back
Top Bottom