Nini faida na hasara

Nini faida na hasara

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,206
Reaction score
18,549
Kuna watu wanaamini wakiwaambia wapenzi wao maisha ukweli wa maisha yao ya kale basi inaonyesha uaminifu na mwenzi kuridhika. Na wapo wengine wanaamini ni disaster kufanya kitendo kama hicho.

Je nini faida na hasara za kumpa cv yako YA mahusiano (history) yaliyo pita.
 
faida na hasara za hili inategea na mpenzi uliye naye...! inabidi umjue kwanza nadhani kabla ya kuanza kumtel haya mambo..! manake wengine yani watayachukua kama yalivyo na yatakuja kuleta matatizo huko mbele wakati mambo yasipo kua mazuri.....!
 
Kuna watu wanaamini wakiwaambia wapenzi wao maisha ukweli wa maisha yao ya kale basi inaonyesha uaminifu na mwenzi kuridhika. Na wapo wengine wanaamini ni disaster kufanya kitendo kama hicho.

Je nini faida na hasara za kumpa cv yako YA mahusiano (history) yaliyo pita.

Mmmmh...hakuna faida wala hasara,na sidhani kama kuna sababu ya kumtolea maelezo,eti nilikuwa na nani,mara nime-date wangapi..wewe ndio my present. Kama huniamini lets go Angaza..Baaaasi!
 
mpe data sasa kazi kwake yeye mwenyewe...cha msingi awe na full info ili afanye informed decision.
 
story za zilizopendwa ni za kazi gani? Unatemana nazo na kuganga yajayo.
 
Back
Top Bottom